YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
jamaa wa kwanza alikula ugali mkubwa sana na gunia la chumvi, huyu akapata nafasi ya 3. Wapili alikula na kikombe cha maji, huyu nusura atangazwe mshindi akawa wa 2. Alieshinda alikula ugali na ugali mdogo kama mboga.