Mashetan wanaovaa sura ya mwanaume/mwanamke na kuvalishaana pete utayatambuaje

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Ndoa nyingi sana hivi sasa zinafungishwa na maajenti wa shetan...kuna wengi wamekuwa wakitayaruki jinsi gan
mwenza anavyobadilika kwenye ndoa siku hadi siku kuna waliofikia kuitana majina ya kupeana moyo
ma everything,my sweethny,,myy pinapple my apple nowdays nyumba nyingi zikishaoana wanaanza kuitana
matusi badala ya kuendelea kupendana wakati ukikumbana na mwanaume ama mwanamke wa aina hiyo amka jini limeingia ndan yako wewe usiku ukilala mwenzio anafanya tendo la nddoa na majini yake wanamfurahisha mwishowe
unakuta hata ukitaka tendo la ndoa aka tunda la roho unanyimwa sio yeye

sasa basi wengi waspokuwa na ufahamu unaishia kukimbia na kkuacha nyumba ina kiola kitu yale majin yanafurahia
yanaannza kutafuta wengine fasta na ndio maana ndoa nyingi wanaweza hisi ni uzinzi no kuna majii ni ya kiroho yanawaongoza usiku na wengine wamepewa ukuu na vyeo huko gizani

jini hawa wanaweza tengeneza sura ya mtu unafikiria mtu huyu kwa nini amebadilka anakufanyia mambo mabaaya ili ushangae na wengine ama kama si wengi huwa wanaanza kwa kuchumbiana vizuri kuvishana pete vizuri gafla anaanza kukujibu ovyo hapo amjaaoana unaendealeaje kama ajana ..mbona unajibu hivyo umejuaje duh kama huna ufahamu unaweza kula kona jioni hata kama ujafungua ndugu yangu
 
Ndoa nyingi sana hivi sasa zinafungishwa na maajenti wa shetan...kuna wengi wamekuwa wakitayaruki jinsi gan
mwenza anavyobadilika kwenye ndoa siku hadi siku kuna waliofikia kuitana majina ya kupeana moyo
ma everything,my sweethny,,myy pinapple my apple nowdays nyumba nyingi zikishaoana wanaanza kuitana
matusi badala ya kuendelea kupendana wakati ukikumbana na mwanaume ama mwanamke wa aina hiyo amka jini limeingia ndan yako wewe usiku ukilala mwenzio anafanya tendo la nddoa na majini yake wanamfurahisha mwishowe
unakuta hata ukitaka tendo la ndoa aka tunda la roho unanyimwa sio yeye

sasa basi wengi waspokuwa na ufahamu unaishia kukimbia na kkuacha nyumba ina kiola kitu yale majin yanafurahia
yanaannza kutafuta wengine fasta na ndio maana ndoa nyingi wanaweza hisi ni uzinzi no kuna majii ni ya kiroho yanawaongoza usiku na wengine wamepewa ukuu na vyeo huko gizani

jini hawa wanaweza tengeneza sura ya mtu unafikiria mtu huyu kwa nini amebadilka anakufanyia mambo mabaaya ili ushangae na wengine ama kama si wengi huwa wanaanza kwa kuchumbiana vizuri kuvishana pete vizuri gafla anaanza kukujibu ovyo hapo amjaaoana unaendealeaje kama ajana ..mbona unajibu hivyo umejuaje duh kama huna ufahamu unaweza kula kona jioni hata kama ujafungua ndugu yangu
Acheni ushirikina. Hakuna cha shetani wala majini. Mnoana siyo sababu ya mapenzi bali kwa sababu jamaa ana gari, yuko Ulaya, amesoma, amejenga nyumba nzuri, ana biashara, anajua mchezo wa kitandani, n.k. Baadaye mnachokana kwa sababu toka mwanzo hamkupendana. Majini ni ninyi wenyewe.
 
Back
Top Bottom