Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ndoa nyingi sana hivi sasa zinafungishwa na maajenti wa shetan...kuna wengi wamekuwa wakitayaruki jinsi gan
mwenza anavyobadilika kwenye ndoa siku hadi siku kuna waliofikia kuitana majina ya kupeana moyo
ma everything,my sweethny,,myy pinapple my apple nowdays nyumba nyingi zikishaoana wanaanza kuitana
matusi badala ya kuendelea kupendana wakati ukikumbana na mwanaume ama mwanamke wa aina hiyo amka jini limeingia ndan yako wewe usiku ukilala mwenzio anafanya tendo la nddoa na majini yake wanamfurahisha mwishowe
unakuta hata ukitaka tendo la ndoa aka tunda la roho unanyimwa sio yeye
sasa basi wengi waspokuwa na ufahamu unaishia kukimbia na kkuacha nyumba ina kiola kitu yale majin yanafurahia
yanaannza kutafuta wengine fasta na ndio maana ndoa nyingi wanaweza hisi ni uzinzi no kuna majii ni ya kiroho yanawaongoza usiku na wengine wamepewa ukuu na vyeo huko gizani
jini hawa wanaweza tengeneza sura ya mtu unafikiria mtu huyu kwa nini amebadilka anakufanyia mambo mabaaya ili ushangae na wengine ama kama si wengi huwa wanaanza kwa kuchumbiana vizuri kuvishana pete vizuri gafla anaanza kukujibu ovyo hapo amjaaoana unaendealeaje kama ajana ..mbona unajibu hivyo umejuaje duh kama huna ufahamu unaweza kula kona jioni hata kama ujafungua ndugu yangu
mwenza anavyobadilika kwenye ndoa siku hadi siku kuna waliofikia kuitana majina ya kupeana moyo
ma everything,my sweethny,,myy pinapple my apple nowdays nyumba nyingi zikishaoana wanaanza kuitana
matusi badala ya kuendelea kupendana wakati ukikumbana na mwanaume ama mwanamke wa aina hiyo amka jini limeingia ndan yako wewe usiku ukilala mwenzio anafanya tendo la nddoa na majini yake wanamfurahisha mwishowe
unakuta hata ukitaka tendo la ndoa aka tunda la roho unanyimwa sio yeye
sasa basi wengi waspokuwa na ufahamu unaishia kukimbia na kkuacha nyumba ina kiola kitu yale majin yanafurahia
yanaannza kutafuta wengine fasta na ndio maana ndoa nyingi wanaweza hisi ni uzinzi no kuna majii ni ya kiroho yanawaongoza usiku na wengine wamepewa ukuu na vyeo huko gizani
jini hawa wanaweza tengeneza sura ya mtu unafikiria mtu huyu kwa nini amebadilka anakufanyia mambo mabaaya ili ushangae na wengine ama kama si wengi huwa wanaanza kwa kuchumbiana vizuri kuvishana pete vizuri gafla anaanza kukujibu ovyo hapo amjaaoana unaendealeaje kama ajana ..mbona unajibu hivyo umejuaje duh kama huna ufahamu unaweza kula kona jioni hata kama ujafungua ndugu yangu