Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Ni dhahiri sasa kwamba serikali ya awamu ya nne inatumia nguvu mno kutaka kutuaminisha imedeliver au kwa lugha nyingine imeleta mafanikio. Cha ajabu ni kwamba what is on the ground is completely different. Na mengi yanayosemwa ni mafanikio ya serikali ya awamu ya nne ni majukumu ya kawaida ya serikali. Mfano uendelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara, kuandikisha watoto kujiunga na elimu ya msingi ofcourse hata idadi ya watu imeongezeka pia, kuongeza idadi ya wafungwa etc.
Kwa kifupi alichofanya JK na serikali yake kingeweza kufanywa almost na mtu yeyote yule ambaye angechaguliwa kuwa raisi in 2005. Na probably the net effect is close to zero or even negative.
Sasa basi kwa kifupi na bila kuunga-unga kama inavyofanyika sasa tunaomba mashabiki wa Kikwete mtutajie mafanikio ya JK, objectively,one sentence na pia specific. Things that will be in history kwamba vililetwa na serikali ya awamu ya nne. Or else some radical changes that identify the character of Kikwete as a leader.
Nitatoa mifano ya awamu zilizopita kwa hiyo na nyie mtupe ya awamu ya nne.
AWAMU ZA NYERERE
1. Alitoa elimu na afya bure
2. Alitaifisha shule zote za dini na kuzifanya za serikali
3. Alijenga mabwawa ya umeme ya Mtera, Kidatu, Pangani.
4. Alifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa
5. Alijenga Dar es Salaam airport etc. etc.
Note: Hii ilikuwa ni awanu ya kulijenga taifa from scratch.
AWAMU ZA MWINYI
1. Aliruhusu umiliki na uendeshaji wa vyombo binafsi vya habari.
2. Alianzisha mradi wa umeme Kihansi
3. Alijenga barabara ya Kahama mpaka mpakani mwa Burundi na Rwanda
4. Aliruhusu makampuni binafsi kununua mazao ya biashara kutoka kwa wakulima.
5. Aliruhusu uchumi kuendeshwa na uchumi wa soko, pia maduka binafsi ya kubadilisha fedha. etc. etc.
AWAMU ZA MKAPA
1. Alianzisha ujenzi wa barabara za lami nyingi kuliko awamu yeyote ile tena kwa hela zetu( Dar - Mwanza, Kibiti - Lindi, Busisi - Kagera, Kupanua barabara ya Dar - MIKUMI etc. etc.
2. Alijenga daraja la Mkapa
3. Alijenga uwanja mpya wa kisasa wa michezo, of its kind in East Africa.
4. Alifuta ada ya shule za msingi
5. Alianzisha ujenzi wa daraja la urafiki kati ya Tanzania na Mozambique
Note: Mkapa pia aliendeleza ujenzi wa barabara za kipindi cha Mwinyi kama ile ya Moro -Dar, Mbeya - Kasumulu, Chalinze Segera. Lakini hatukumsikia mwaka 2000 on his re-election bid akisimamia umaliziaji wa barabara hizi kama mafanikio ya awamu ya uongozi wake.
AWAMU YA KIKWETE
1. ..........................................................................
2. ..............................................................................
3. ............................................................................
4. ..................................................................................
5.......................................................................
Kwa kifupi alichofanya JK na serikali yake kingeweza kufanywa almost na mtu yeyote yule ambaye angechaguliwa kuwa raisi in 2005. Na probably the net effect is close to zero or even negative.
Sasa basi kwa kifupi na bila kuunga-unga kama inavyofanyika sasa tunaomba mashabiki wa Kikwete mtutajie mafanikio ya JK, objectively,one sentence na pia specific. Things that will be in history kwamba vililetwa na serikali ya awamu ya nne. Or else some radical changes that identify the character of Kikwete as a leader.
Nitatoa mifano ya awamu zilizopita kwa hiyo na nyie mtupe ya awamu ya nne.
AWAMU ZA NYERERE
1. Alitoa elimu na afya bure
2. Alitaifisha shule zote za dini na kuzifanya za serikali
3. Alijenga mabwawa ya umeme ya Mtera, Kidatu, Pangani.
4. Alifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa
5. Alijenga Dar es Salaam airport etc. etc.
Note: Hii ilikuwa ni awanu ya kulijenga taifa from scratch.
AWAMU ZA MWINYI
1. Aliruhusu umiliki na uendeshaji wa vyombo binafsi vya habari.
2. Alianzisha mradi wa umeme Kihansi
3. Alijenga barabara ya Kahama mpaka mpakani mwa Burundi na Rwanda
4. Aliruhusu makampuni binafsi kununua mazao ya biashara kutoka kwa wakulima.
5. Aliruhusu uchumi kuendeshwa na uchumi wa soko, pia maduka binafsi ya kubadilisha fedha. etc. etc.
AWAMU ZA MKAPA
1. Alianzisha ujenzi wa barabara za lami nyingi kuliko awamu yeyote ile tena kwa hela zetu( Dar - Mwanza, Kibiti - Lindi, Busisi - Kagera, Kupanua barabara ya Dar - MIKUMI etc. etc.
2. Alijenga daraja la Mkapa
3. Alijenga uwanja mpya wa kisasa wa michezo, of its kind in East Africa.
4. Alifuta ada ya shule za msingi
5. Alianzisha ujenzi wa daraja la urafiki kati ya Tanzania na Mozambique
Note: Mkapa pia aliendeleza ujenzi wa barabara za kipindi cha Mwinyi kama ile ya Moro -Dar, Mbeya - Kasumulu, Chalinze Segera. Lakini hatukumsikia mwaka 2000 on his re-election bid akisimamia umaliziaji wa barabara hizi kama mafanikio ya awamu ya uongozi wake.
AWAMU YA KIKWETE
1. ..........................................................................
2. ..............................................................................
3. ............................................................................
4. ..................................................................................
5.......................................................................