Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Mtu ana uhuru wa kushabikia timu anayotaka uzalendo peleka Taifa starsMashabiki wa SIMBA HAWAJAWAHI SHABIKIA Mgeni kwenye mechi za Kimataifa. Kama nyinyi Utopolo mmeamua kujimega kushabikia wageni kama ilivyo jadi yenu endeleeni.
WanaSimba hawana huo muda wa kipuuuzi.
Alafu naomba unisaidie kuwauliza Belouizdad niwabovu au ? Waseme mapema maana kesho wasije kubadilisha maneno
Naunga mkono hoja 👍👏 waitane kwa wingi ikifika saa 6 usiku watakimbiana hapa
Nipo hapa Algiers kusubiria karamu ya magoli
Unatapatapa ukiwa wapi kijana wa Rage? Nakusalimia ✋
UnatuvurugaAll the Best Yanga
Nilijua tu kudadek subiri kesho mtalia uwanja mzima Assek Mimosa lazima awafunge 🤪