Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Habari za asubuhi Wana JF,
Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.
Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.
Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.
Naomba kuwasilisha.
Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa kazi.
Nilienda field mkoa X ofisi niliofikia kulikuwa na secretary mmoja she is beautiful Ila alikuwa na kiburi na dharau sana, ukichelewa ofisini atakusema utafikiri kampuni ni ya baba yake, tulikuja kujua kumbe ni mali ya boss.
Ma secretary mfanye kazi sio kuwatega maboss, sio wote baadhi yenu ni Malaya kwenye ofisi mnazofanyia kazi kila mtu ushadate naye ofisi nzima ushamaliza.
Naomba kuwasilisha.