Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mchekeshaji wa zecomedy emanuel a.k.a masanja
ameamua kumpokea bwana yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yake katika kanisa la
EAGT pale mnazi mmoja siku ya ijumaa....
emanuel ambae alikiri mbele ya madhabahu tangu aanze kusali hapo amekuwa kiumbe kipya na kuachana na maovu mengi ambayo yalikuwa yakimletea nuksi na sasa ameamua kuokoka na kumkiri yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yake......haya wewe wasubiri urais uokoke .....Hongera bw masanja maisha yanabadilishwa hapa hapa dunian baada ya kifo
HUKUMU AKUNA KUDANGANYANA ATI SALA YA WAFU UKIFA IMRTOKA MWANAWANE
WERA WERA SUBIRI UOMBEWE KWENYE JENEZA SAMBI ZITAFUTIKAAA EEEEEHHHHHH
KAZI KWAKO
ameamua kumpokea bwana yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yake katika kanisa la
EAGT pale mnazi mmoja siku ya ijumaa....
emanuel ambae alikiri mbele ya madhabahu tangu aanze kusali hapo amekuwa kiumbe kipya na kuachana na maovu mengi ambayo yalikuwa yakimletea nuksi na sasa ameamua kuokoka na kumkiri yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yake......haya wewe wasubiri urais uokoke .....Hongera bw masanja maisha yanabadilishwa hapa hapa dunian baada ya kifo
HUKUMU AKUNA KUDANGANYANA ATI SALA YA WAFU UKIFA IMRTOKA MWANAWANE
WERA WERA SUBIRI UOMBEWE KWENYE JENEZA SAMBI ZITAFUTIKAAA EEEEEHHHHHH
KAZI KWAKO