kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
naomba kufahamishwa ni sehemu gani nzuri ya kukaa na kupata burudani mbali mbali mida ya jioni??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
nafahamu mkuu na simaanishi wanawake mimi sio stile hiyo,ni chakula kizuri especially nyama choma na tubia tuwili.usisahau kuwa ni mkoa wa ngapi kwa UKIMWI, naona mnajitoaga ufahamu!
nenda V.I.Pnaomba kufahamishwa ni sehemu gani nzuri ya kukaa na kupata burudani mbali mbali mida ya jioni??
Sent using Jamii Forums mobile app
poa utanipa mrejesho mkuu.
nenda hapo iringa mjini,sehemu ipo opposite na soko, upande wa kulia, barabara ya kushuka chini, wanachoma sana nyama, mbuzi,kuku na ha ng;ombe, kiti baridi na chenyewe kinahusika. bia mimi sio mdau,!nafahamu mkuu na simaanishi wanawake mimi sio stile hiyo,ni chakula kizuri especially nyama choma na tubia tuwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
VIP, Shooters, Shine pub, boma, Miami japo kunafurikaga mpaka hewa inakuwa nzito au hata Club la partenaomba kufahamishwa ni sehemu gani nzuri ya kukaa na kupata burudani mbali mbali mida ya jioni??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni sehemu ya kula bata nitakuelekeza lakini hizo burudani ni mtihani kidogo. M kiwanja nachokijua huwa wanachinja bata na kuku pekee, mbuzi huwa ni mara chache sana.naomba kufahamishwa ni sehemu gani nzuri ya kukaa na kupata burudani mbali mbali mida ya jioni??
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba kufahamishwa ni sehemu gani nzuri ya kukaa na kupata burudani mbali mbali mida ya jioni??
Sent using Jamii Forums mobile app
nimepaona ni pachafu mno mkuu,ila nguruwe wanapata tabu sana maeneo hayo kila banda ni kitimoto ila full uchafu mafuta wanayotumia hayana tofauti na oil chafu
Kwani hadi leo hujajua namna ya kuepuka kupata UKIMWI?usisahau kuwa ni mkoa wa ngapi kwa UKIMWI, naona mnajitoaga ufahamu!