laussane
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 255
- 131
Habari zenu wana jamvini, napenda kuwatakia heri ya mwaka mpya na nawapenda wote! wapendwa yamenikuta, ndoa changa, mume alinificha kama alioa nimeona divorce papers katika suitcase, naanzaje kumuuliza? ni yapi ya kuzingatia katika kumuuliza kuhusu hili? hakunijulisha before kama alishaoa na mpaka familia yake wanafaham kuwa alioa, mimi nimejua kupitia makaratasi! nipeni mwanga tu wa kumuuliza ni yapi ya kuzingatia?