Serikali ya China imetoa agizo kwa watendaji wa vyuo vikuu vya umma nchini humo kwa kuhakikisha kuwa hakuna nzi atakayepaswa kuruka ndani ya kampas hizo,na endapo kutakuwa na nzi wanaruka basi wasizidi wawili,lengo ni kuongeza kiwango cha juu cha ubora wa vyuo hivyo.
Sosi:MTANZANIA
Sosi:MTANZANIA