Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Nimeshangaa sana huyu Katibu Mkuu wa Chama Kigumu akiwaita waandishi eti kutoa tamko la UVCCM kuhusu mgomo wa madaktari wakati chama chake kimeshatoa tamko..........
Tena anaongea kwa body language kwa staili ya JK......................nahisi akiwa maeneo ya vijijini (veeery remote) huwa anajiita RIDH1 kabisa!!!
Tena anaongea kwa body language kwa staili ya JK......................nahisi akiwa maeneo ya vijijini (veeery remote) huwa anajiita RIDH1 kabisa!!!