Martin Kolikoli: Mtanzania mwingine aliyeingia kwenye 2009 NBA draft

Mndundu

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
233
34
Katika pitpita zangu huko nba.com nimeona jina la Mtanzania Martin Kolikoli akiwa amewekwa katika kitengo cha wachezaji wa kimataifa waliopo katika NBA draft ya mwaka huu. Niko interested kumjua yeye kama mchezaji (amefanya nini uwanjani, anaweza kufanya nini uwanjani). Kama kuna video clips zinazomuonyesha akiwa katika gemu itakuwa fresh zaidi au achievements zake katika mpira wa kikapu wa bongo. Mwisho ni ana chance gani kuingia nba mwaka huu?

Link ya nba yenye list ya wanaoshiriki 2009 Draft
NBA.com: Early-entry candidates withdraw from 2009 NBA Draft

Link ya wikipedia yenye habari kidogo kuhusu Kolikoli
[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Martin_Kolikoli]Martin Kolikoli - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]



Nawakilisha
 
Last edited:
Yaani huyu jamaa anacheza Tanzania? Duh! Namtakia kila la heri lakini chance zake sio nzuri kabisa.
 
At least anajaribu sio kukaa na kulalamika tuuu

True

His chances are slim though. Maybe he should have tried Europe first, or since he is still pretty young try and get a College scholarship in the US. Although that's pretty hard too.

Anyway good luck to him
 
True

His chances are slim though. Maybe he should have tried Europe first, or since he is still pretty young try and get a College scholarship in the US. Although that's pretty hard too.

Anyway good luck to him

He's at the right age to join NBA, coz when u check the DOBs of other NBA candidates from overseas, are all born between 1988 & 1990 (he was born in May 1989).
But his ability & fitness to go straight to the NBA is at least for now questionable.

And at 6'2", switching to be a guard may be more reasonable.

I agree with Alpha that he can also try Europe (Sasha Kaun, who won the NCAA basketball title last year 2008 is at CSKA Moscow), or try to enter College to play in NCAA. Or why not try China? Yao Ming played there before joining the Rockets.

If he has the ability and drive, he will somehow succeed somewhere.

Watch out for Thabeet's NBA debut!
Hope he'll learn from encounters with Dwight Howard, Shaq O'Neal & Yao Ming, the great centres.
 
Nawaombea wafanikiwe angalau watangaze jina la nchi yetu..
 
unajua ni vigumu kwa mtu anayetoka Tanzania kwenda moja kwa moja NBA,kumbuka hata Hashim amekaa Marekani kwa miaka .Napenda kushauri watu wenye uwezo wamsaidie kijana aende akasome Marekani ,hasa shule zenye upeo wa busket.Naaamini huyu atakuwa mzuri sana baadae.Hebu fikiri kutoka Tanzania halafu ukawe kati ya watu 45 wanaocompete kuingia NBA si mchezo.Pia BFT waliangalie hili kwa makini itakuwa sifa sana kwao kama Chama.
 
Naomba mtu anayejua Martin Kolikoli baada ya kutokufanikiwa NBA draft yuko wapi,na anachezea timu gani kwa sasa.
 
Martin Kolikoli, also known as Martin Ndunguru, (born May 25, 1989 in Dar es Salaam) is a Tanzanian professional basketball player for Pazi Basketball Team in Tanzania. He is 6'2" tall and weighs 189 lbs. Martin has grown up playing the power forward position for Loyola High School in Tanzania.

The Tanzania Basketball Federation selected Kolikoli as its sole representative for the 2008 Basketball Without Borders Programme, held at American International School of Johannesburg and organized by the National Basketball Association and International Basketball Federation.

After returning from the camp, Kolikoli was invited to participate in the under-21 national team of Tanzania. With all the events in the past year Martin Kolikoli is currently an undrafted NBA free agent after placing his name in the 2009 NBA Draft. Represented locally in Tanzania by DWM Sports Agency under agent David Ngonyani however Mr Kolikoli is internationally by John Domantry. Currently Martin is in Tanzania helping around in Charity basketball events. [edit] Personal life Son of Urban and Bernadette Ndunguru, he has two sisters named Jokate and Desi Mwegelo and a brother named Magavilla Constantine. Martin comes for a family filled with basketball; his cousin Louis Charles Ngonyani played for the team Martin now plays in Pazi for four season (1994–98) but stopped to focus more on studying. His other cousin David Wilbard Ngonyani is still an active player in the ACAMIS and ISAC league of Beijing, China.

Kumbe ana undugu na mrembo Jokate pamoja na yule 'nanihino' menaja masoko wa Zain Constatine Magavilla.

Mcheki kwenye facebook yake hapa www.facebook.com/mkolikoli
 
Jamaa kwa sasa nasikia karudi Bongo anachezea Pazi, namshauri atafute scholarship ili acheze college basketball atafanikiwa from there
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom