imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 47,060
- 71,931
Akivua lazima usimamishe, aibu ikizidi unaiona Konyagi ndogo, lazima aliwe.Mae mae zao...how can you msimamishia dada yako?
Akivua lazima usimamishe, aibu ikizidi unaiona Konyagi ndogo, lazima aliwe.Mae mae zao...how can you msimamishia dada yako?
AMENKumubukumbu la Torati 27:22 linasema,Na alaaniwe alalaye na umbu lake, au binti ya babaye au binti ya mamaye,Na watu wote waseme,Amen....
Watu gan hao mkuu? FafanuaKuna watu wanalengwa na taratibu wataingia mtegoni.
Ndio inapoelekea kama adi kuna sheria yake ujue hicho ndio kifuatacho miaka ya mbeleniAiseee! Na si ajabu kadri miaka itakavyosogea ikafikia kipindi likawa jambo la kawaida kabisa.
Una bahati sanaMmmmh
Vitu vya kutungwa tungwa tuuuuJames Banes (41) na Victoria Banes (38 ) ni ndugu wawili wa familia moja pia ni wapenzi kutoka New Jersey Marekani, wameshinda shauri la mahakama kuhusu kufunga ndoa.
Ndugu hao wameshinda shauri hilo baada ya kukaa miaka 10 kupambania kuhusu kupitishwa kwa sheria hiyo kwa kaka na dada kuona wenyewe kwa wenyewe.
James Banes ambaye ni kaka wa familia hiyo amesema, "alikuwa anaishangaa mahakama kukubali mtu kufunga ndoa na binamu yake na si mtu na dada yake ilihali kuwa hata Adam na Hawa walifanya hivyo kwa nini leo isiwe kwa sisi ndugu".
Pia Victoria Banes naye ameendelea kusema muda wote walikuwa na ndoto ya kuwa na familia kubwa na ndoto hizo zinakuja kuwa kweli baada ya kushinda kesi hiyo na kwa sasa ni mjamzito anategemea watoto mapacha.
Baada ya kushinda kwa kesi hiyo ndugu hao wamesema walifurahi sana kusikia hivyo na kupitia wao, watawahamasisha mamilioni ya wamerakani kuwa na mahusiano na ndugu zao.
Sheria nyingine wanaozitunga sijui huwa wanawaza nini.View attachment 1185848
James Banes (41) na Victoria Banes (38 ) ni ndugu wawili wa familia moja pia ni wapenzi kutoka New Jersey Marekani, wameshinda shauri la mahakama kuhusu kufunga ndoa.
Ndugu hao wameshinda shauri hilo baada ya kukaa miaka 10 kupambania kuhusu kupitishwa kwa sheria hiyo kwa kaka na dada kuona wenyewe kwa wenyewe.
James Banes ambaye ni kaka wa familia hiyo amesema, "alikuwa anaishangaa mahakama kukubali mtu kufunga ndoa na binamu yake na si mtu na dada yake ilihali kuwa hata Adam na Hawa walifanya hivyo kwa nini leo isiwe kwa sisi ndugu".
Pia Victoria Banes naye ameendelea kusema muda wote walikuwa na ndoto ya kuwa na familia kubwa na ndoto hizo zinakuja kuwa kweli baada ya kushinda kesi hiyo na kwa sasa ni mjamzito anategemea watoto mapacha.
Baada ya kushinda kwa kesi hiyo ndugu hao wamesema walifurahi sana kusikia hivyo na kupitia wao, watawahamasisha mamilioni ya wamerakani kuwa na mahusiano na ndugu zao.
Sheria nyingine wanaozitunga sijui huwa wanawaza nini.View attachment 1185848
CHADEMA hawa. Ndiyo zao kabisaaaaaJames Banes (41) na Victoria Banes (38 ) ni ndugu wawili wa familia moja pia ni wapenzi kutoka New Jersey Marekani, wameshinda shauri la mahakama kuhusu kufunga ndoa.
Ndugu hao wameshinda shauri hilo baada ya kukaa miaka 10 kupambania kuhusu kupitishwa kwa sheria hiyo kwa kaka na dada kuona wenyewe kwa wenyewe.
James Banes ambaye ni kaka wa familia hiyo amesema, "alikuwa anaishangaa mahakama kukubali mtu kufunga ndoa na binamu yake na si mtu na dada yake ilihali kuwa hata Adam na Hawa walifanya hivyo kwa nini leo isiwe kwa sisi ndugu".
Pia Victoria Banes naye ameendelea kusema muda wote walikuwa na ndoto ya kuwa na familia kubwa na ndoto hizo zinakuja kuwa kweli baada ya kushinda kesi hiyo na kwa sasa ni mjamzito anategemea watoto mapacha.
Baada ya kushinda kwa kesi hiyo ndugu hao wamesema walifurahi sana kusikia hivyo na kupitia wao, watawahamasisha mamilioni ya wamerakani kuwa na mahusiano na ndugu zao.
Sheria nyingine wanaozitunga sijui huwa wanawaza nini.View attachment 1185848
Kweli kabisa.Liberals wameifikisha hii dunia pabaya sana.
Nchi ya wakristo hio
Ambavyo sasa hivi wako Wajinga wanaoshabikia kutafunwa kwa Mke wa Mtu na kuona ni halali kabisa.Daah! Na si ajabu kadri miaka itakavyosogea itafikia kipindi litaonekana ni jambo la kawaida kabisa.