mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Salamu off kidogo.
Iraq, Libya, Syria, Vietnam, Afghanistan, Cuba n.k
Hayo mataifa yote yalikipata cha mtema kuni pale yalipojaribu kutofuata matakwa ya Marekani.
Yalichakazwa vibaya TENA NDANI YA MIPAKA YA NCHI ZAO. Marekani hakuwa na huruma, aliua baadhi ya viongozi wao vifo vya aibu tena NDANI ya ardhi zao, refer Libya.
Sasa kwa nini wasitume mabomu wavuruge amani na wamkamate Putin kama kuku wamuue? Mbona hali imekuwa tofauti kwa Russia?
Russia, N korea nk wanatamba na kumtukana Mmarekani matusi ya nguoni. Ule u super power wa zamani umekwenda wapi? Refer Kim alivyomtusi Rais Trump
Je, Russia ingekuwa nchi kama Tanzania mpaka muda huu ingekuwa na hali gani?
Marekani ioneshe sasa u super power wake, na nafasi ni moja tu hii ili dunia tuamini na ubishi tuumalize.
Imuondoe Putin na Kim haraka, kama ilivyofanya kwa mataifa tajwa hapo juu.
Tumechoka maneno na mipasho ya US tunataka vitendo. Putin anaichafua amani ya dunia.
Kim anaichafua amani ya dunia.
Wakati ni sasa wa kumaliza ubishi wote wa miaka na miaka.
Iraq, Libya, Syria, Vietnam, Afghanistan, Cuba n.k
Hayo mataifa yote yalikipata cha mtema kuni pale yalipojaribu kutofuata matakwa ya Marekani.
Yalichakazwa vibaya TENA NDANI YA MIPAKA YA NCHI ZAO. Marekani hakuwa na huruma, aliua baadhi ya viongozi wao vifo vya aibu tena NDANI ya ardhi zao, refer Libya.
Sasa kwa nini wasitume mabomu wavuruge amani na wamkamate Putin kama kuku wamuue? Mbona hali imekuwa tofauti kwa Russia?
Russia, N korea nk wanatamba na kumtukana Mmarekani matusi ya nguoni. Ule u super power wa zamani umekwenda wapi? Refer Kim alivyomtusi Rais Trump
Je, Russia ingekuwa nchi kama Tanzania mpaka muda huu ingekuwa na hali gani?
Marekani ioneshe sasa u super power wake, na nafasi ni moja tu hii ili dunia tuamini na ubishi tuumalize.
Imuondoe Putin na Kim haraka, kama ilivyofanya kwa mataifa tajwa hapo juu.
Tumechoka maneno na mipasho ya US tunataka vitendo. Putin anaichafua amani ya dunia.
Kim anaichafua amani ya dunia.
Wakati ni sasa wa kumaliza ubishi wote wa miaka na miaka.