bopwe
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 1,768
- 1,445
Ibra,
Katika mambo ambayo nayaona hapa jamvini ni haraka ya
watu kuandika tena kuandika ufedhuli.
Wingi ni lazima ufananishe.
Cairo kwa wakati fulani mchana mjini watu wake ni milioni 12.
Umati wa mji huu ukikusanyika ni umati mkubwa.
Tanta ni mji mdogo sana kwa Cairo hivyo umati wake ukikusanyika
utakuwa mdogo ukifananisha na Cairo.
Lakini haifanyi kuwa Tanta ikawa kuwa haiwezi kuwa na umati katika
mji.
Naamini umeelewa.
Na umati ule ni alfariri , Maalim aliingia Pemba Alfajiri