Mapishi ya maini fasta

Coriander kwa kiengereza na giligilani kwa kiswahili

Thanks very much farkhina ama kweli elimu haina mwisho.
Sometimes tunapika vyakula visivyokuwa kuwa na mvuto kwa kukosa tu knowledge wakati vikorombwezo ni afordable.

Dada Farkhina us mastard kazi yake nini? Kuna mtu alininunulisha lakini hatukufikia topic yake
 
Last edited by a moderator:
Thanks very much farkhina ama kweli elimu haina mwisho.
Sometimes tunapika vyakula visivyokuwa kuwa na mvuto kwa kukosa tu knowledge wakati vikorombwezo ni afordable.

Dada Farkhina us mastard kazi yake nini? Kuna mtu alininunulisha lakini hatukufikia topic yake

Mastard sana napikia mango pickle au kukaangia mchuzi ila zina taste ya uchungu kidogo.... Pis inaleta harufu na ladha nzuri katika chakula vipi umenunua zile seeds?
 
Last edited by a moderator:
Mastard sana napikia mango pickle au kukaangia mchuzi ila zina taste ya uchungu kidogo.... Pis inaleta harufu na ladha nzuri katika chakula vipi umenunua zile seeds?

Ni kikopo flani cha njano sijawahi hata kukifungua nahisi ni ya unga.
Huwekwa kwenye vyakula gani?

Dah na hilo somo la mango pickle uje utufundishe na ile chachandu (pilipili ya kupika).
 
Dak 5 hadi 7 yanaiva kiasi cha kutosha kweli?
Mimi huwa nayachemsha kwanza kwa yale chumvi,mafuta na ndimu kwanza kama dk 15 halafu ndio natia hivyo viungo vyote napunguza moto viive taratibu hadi vikiiva kabisa nakoroga kupata lile rojo, naipua.
Maini yasipoiva ni hatari, yana magonjwa.
 
Dak 5 hadi 7 yanaiva kiasi cha kutosha kweli?
Mimi huwa nayachemsha kwanza kwa yale chumvi,mafuta na ndimu kwanza kama dk 15 halafu ndio natia hivyo viungo vyote napunguza moto viive taratibu hadi vikiiva kabisa nakoroga kupata lile rojo, naipua.
Maini yasipoiva ni hatari, yana magonjwa.

Fanya kama alivoelekeza bwan kaka hapo. Yaroweke na chumvi, limao na soya sauce.

Kama mpnz wa spices weka spices zako kiasi na thom na tangawizi kama unaviunga samaki kabla hujawapika. Ongezea na nyanya ya kopo ili kuja kupata roast zuri zaidi.

Yanawiva vizuri sana bila wasiwasi.

Mimi maini maisha yote sichemshi kama nnavochemsha nyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom