Mapinduzi ya Tunisia yalianza baada ya ugumu wa maisha na serikali yenye ubabe

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,610
8,736
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.

Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu wa ajira,uhuru na ukandamizaji wa watawala kuwa mkubwa.

Kijana mmoja baada ya kumaliza chuo kwa shida na yeye ndio tegemezi,kukosa kazi na ugumu wa maisha ikabidi kuingia mtaani kufanya biashara za machinga.

Huku na kule migambo ya Jiji ikamkamata na kumpora biashara yake kitendo kile kilimpa uchungu sana na kuamua kujimiminia mafuta na kujichoma moto mbele ya umati huku akitoa ya moyoni kuhusu serikali mbovu.
Jambo lile kumbe Kila mwananchi wengi walishachoka na uvumilivu ndio mwanzo wa mapinduzi na maandamano makubwa yaliyo chochea kuondoka serikali mwaka 2011 January 11.

Ujumbe: Ili punje Moja ya ngano iweze kuzalisha punje nyengine lazima ife.

Hipo siku cheche Moja itawasha moto ambao kuzimika ndio mwisho wao.
 
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.

Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu wa ajira,uhuru na ukandamizaji wa watawala kuwa mkubwa.

Kijana mmoja baada ya kumaliza chuo kwa shida na yeye ndio tegemezi,kukosa kazi na ugumu wa maisha ikabidi kuingia mtaani kufanya biashara za machinga.

Huku na kule migambo ya Jiji ikamkamata na kumpora biashara yake kitendo kile kilimpa uchungu sana na kuamua kujimiminia mafuta na kujichoma moto mbele ya umati huku akitoa ya moyoni kuhusu serikali mbovu.
Jambo lile kumbe Kila mwananchi wengi walishachoka na uvumilivu ndio mwanzo wa mapinduzi na maandamano makubwa yaliyo chochea kuondoka serikali mwaka 2011 January 11.

Ujumbe: Ili punje Moja ya ngano iweze kuzalisha punje nyengine lazima ife.

Hipo siku cheche Moja itawasha moto ambao kuzimika ndio mwisho wao.
Ni kweli watawala hujiona kuwa wao ni special , na kutuaminisha tulinde amani
 
Kwa hapa Tanzania bado sana. Ugumu wa maisha wa kule Tunisia ulikuwa ni WA kushindwa kula wiki nzima na ukizembea unakufa.

Hapa kwetu kuna kaujamaa bado kanatupumbaza,, unaweza kutembeza bakuli kwa majirani ukajikuta unakula vizuri kuliko hata Bakhresa kwa kuomba tu.
 
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.

Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu wa ajira,uhuru na ukandamizaji wa watawala kuwa mkubwa.

Kijana mmoja baada ya kumaliza chuo kwa shida na yeye ndio tegemezi,kukosa kazi na ugumu wa maisha ikabidi kuingia mtaani kufanya biashara za machinga.

Huku na kule migambo ya Jiji ikamkamata na kumpora biashara yake kitendo kile kilimpa uchungu sana na kuamua kujimiminia mafuta na kujichoma moto mbele ya umati huku akitoa ya moyoni kuhusu serikali mbovu.
Jambo lile kumbe Kila mwananchi wengi walishachoka na uvumilivu ndio mwanzo wa mapinduzi na maandamano makubwa yaliyo chochea kuondoka serikali mwaka 2011 January 11.

Ujumbe: Ili punje Moja ya ngano iweze kuzalisha punje nyengine lazima ife.

Hipo siku cheche Moja itawasha moto ambao kuzimika ndio mwisho wao.
Jichome na wewe na perroli basi ili mapinduzi yatokee!! Watu mnapenda sana kufananisha vitu.

Hivi Tunisia baada ya yule kijana kujichomo na Rais kukimbia nchi imepiga hatua kiuchumi kiasi gani?
 
Jichome na wewe na perroli basi ili mapinduzi yatokee!! Watu mnapenda sana kufananisha vitu.

Hivi Tunisia baada ya yule kijana kujichomo na Rais kukimbia nchi imepiga hatua kiuchumi kiasi gani?
Siku wakikufikia hutaacha kuona Kila rangi
 
Matamanio ya kuona damu inamwagika sio jambo jema, ni ishara mbaya sana katika maisha ya kiumbe hai.

Siku watanzania wakifikia hatua ya kukosa chakula kwa walau siku kadhaa hakutakuwa na namna ya kuwazuia kuandamana.

Kwa wakati huu ni vigumu sana kuwashawishi watu kuingia barabarani.

B.T.W hao watunisia wamepiga hatua gani kubwa baada ya mapinduzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matamanio ya kuona damu inamwagika sio jambo jema, ni ishara mbaya sana katika maisha ya kiumbe hai.

Siku watanzania wakifikia hatua ya kukosa chakula kwa walau siku kadhaa hakutakuwa na namna ya kuwazuia kuandamana.

Kwa wakati huu ni vigumu sana kuwashawishi watu kuingia barabarani.

B.T.W hao watunisia wamepiga hatua gani kubwa baada ya mapinduzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania hawawezi kufanya hivyo kwa sababu wengi wetu ambao ni karibu 98.4% ni waoga wa kutupwa .Labda wangekuwa wakenya kwa watz big NO
 
2010 tarehe 17 December ndio ilikuwa mda rasmi nchi ya Tunisia ikijikuta wananchi wanaongea lugha Moja.

Kisa kinaanza hivi. Ugumu wa maisha kuwa mkubwa,rushwa ndani ya serikali kukisiri,ukosefu wa ajira,uhuru na ukandamizaji wa watawala kuwa mkubwa.

Kijana mmoja baada ya kumaliza chuo kwa shida na yeye ndio tegemezi,kukosa kazi na ugumu wa maisha ikabidi kuingia mtaani kufanya biashara za machinga.

Huku na kule migambo ya Jiji ikamkamata na kumpora biashara yake kitendo kile kilimpa uchungu sana na kuamua kujimiminia mafuta na kujichoma moto mbele ya umati huku akitoa ya moyoni kuhusu serikali mbovu.
Jambo lile kumbe Kila mwananchi wengi walishachoka na uvumilivu ndio mwanzo wa mapinduzi na maandamano makubwa yaliyo chochea kuondoka serikali mwaka 2011 January 11.

Ujumbe: Ili punje Moja ya ngano iweze kuzalisha punje nyengine lazima ife.

Hipo siku cheche Moja itawasha moto ambao kuzimika ndio mwisho wao.
Jipige kiberiti mkuu sisi tupo nyuma yako!.
 
Back
Top Bottom