jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 675
- 1,224
wameisha gundua viongozi niwasengeeKwa nini Africa inapita kwenye mapinduzi ya kijeshi.
wameisha gundua viongozi niwasengeeKwa nini Africa inapita kwenye mapinduzi ya kijeshi.
Wamng'oe tuAisee
Mwenzako akinyolewa...
Naona saivi Warusi hawataki ujinga Afrika
Hahaha waafrika kujitawala ni ngumu, ccm amegeuka mtawala korofi mweusi na sasa wanamrudisha mwarabu
Hujanielewa..MIMI ASKARINipe sababu muhim za jwtz kufanya mapinduzi vinginevyo peleka ujinga wako huko huko.we tawala za kijeshi unazijua zilivyo au waropoka ili kunufaisha Jf
Ni nani hyo nabii?Kuna nabii mmoja alitabiri haya mapinduzi ya kijeshi kwenye mataifa ya Afrika na Kwa Tz alisema aliona wananchi wakiandama kupinga serikali kwamba imetufikisha kwenye maisha magumu. Na ndiye alitabiri kuhusu matokeo ya chanjo ya COVID 19 na kusema yote hayo yataanza kutukia katikati ya 2023 kuelekea 2024/25. Na itakapofika 2024 serikali nyingi zitaanguka. Na kuhusu korona waliochanja watakuwa ktk Hali mbaya kuliko korona yenyewe na kitakuwa na vifo vya ghafla. Huyu ndiye alitabiri pia msiba wa Hayati Magufuli. Naona Kwa upande wa mapinduzi ya kijeshi Kwa mataifa ya Afrika,Ngoma imeanza kujibu! Tusubiri yajayo! Zaidi ni kuomba Toba na rehema kwa Mungu atuepushe na dhahama hizi.