Nimepata taarifa za kusikitisha muda huu kuwa kwenye kongamano la katiba DSM mwanafunzi mmoja wa chuo cha ustawi wa jamii amepigwa na mabaunsa wa CCM na ameumizwa vibaya sana kiasi kwamba meno yote ya mbele yametolewa na kwa sasa yuko polisi anahangaika ili kupata PF3.
Ila alipotaka kusaidiwa na viongozi wa CHADEMA akiwemo Lwakatere na wengine alikataa kwa madai kuwa yeye sio CHADEMA hivyo ataenda polisi peke yake na hahitaji msaada wa watu wa CDM, na hata walipokamatwa wale mabaunsa waliompiga waliokolewa na baadhi ya watu ambao wamedhaniwa kuwa ni polisi waliokuw2a kwenye plain cloth na kuondolewa huku polisi waliokuwa kwenye diffender waki8wa wanawaangalia mpaka alipotokomea na ilikuwa ni mbele ya viongozi wa CCM.
NIta wajuza zaidi huyu kijana anaitwa nani na anaendeleaje mpaka sasa.
Ila alipotaka kusaidiwa na viongozi wa CHADEMA akiwemo Lwakatere na wengine alikataa kwa madai kuwa yeye sio CHADEMA hivyo ataenda polisi peke yake na hahitaji msaada wa watu wa CDM, na hata walipokamatwa wale mabaunsa waliompiga waliokolewa na baadhi ya watu ambao wamedhaniwa kuwa ni polisi waliokuw2a kwenye plain cloth na kuondolewa huku polisi waliokuwa kwenye diffender waki8wa wanawaangalia mpaka alipotokomea na ilikuwa ni mbele ya viongozi wa CCM.
NIta wajuza zaidi huyu kijana anaitwa nani na anaendeleaje mpaka sasa.