Mapicha: Majengo ya Gaza yamebaki magofu, yaani ghost town, jamani HAMAS waliwaza nini

Waambie hao wanaume waache kujificha kwa raia na watoto
Hawajifichi ila hii nisababu inayotolewa na israeli kutokana na kushindwa kuwadhibiti hao wanangambo wa hamas. Tuliambiwa hapa kuwa wataanza uvamizi wa ardhini kuwafuata ndani ya Gaza hao wanaoitwa magaidi kiko wapi mpaka sasa? Israel anapigana vita unprofessional kabisa yani sikutegemea.
 
Palestine niwapumbafu sana wanawaficha hao migambo wa hamas..katka makaz yawatu wanategemea israel iwachekee nahuku wameyaanzisha wenyewe..nakumbe umeme maji navitu kibao walikuwa wanapewa na israel alafu ndo kumchokoza wacha wachapwe chapwe akili zikae sawa
Wewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.
 
Wewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.
Hapo ndipo penyewe ili wapate maji lazima wafie humohumo,ili umeme uwake lazima wafie humohumo ili wapate makaburi ya kuzikwa lazima wafie humohumo kwenye nchi yao.
 
Halafu cha kusikitisha,wakipigwa walipoficha hizo rockets hao wa kuitwa wanaume wanatoka wamebeba picha za maiti za watoto na kuzitengenezea propaganda za kuuliwa watoto huku wakijua kabisa wanawatanguliza watoto na wamama kama ngao zao.Palestina maisha ya kina mama na watoto hayana thamani kabisa.
Jinga sana hawa Wanamgambo wa Hamas!
Wanatumia Human shield. Vile vile hata hawa Mayahudi hawafai kabisa.
 
Jeshi halipangiwi jinsi ya kudili na adui, amtafute gaidi mmoja momja wapi? Hamasi ni trained fighters
 
Wewe huna akili hivi ndani ya nchi yako unapewa umeme na maji na wakiamua wanakata na hakuna kutoka mpaka nchi ya jirani yako iamuwe unaona hayo ni maisha? Wapalestina wapo gerezani ndani ya nchi yao wenyewe wapambane tu ni heri wafie hapo tu hakuna namna.
Bhas wapambane..waendelee kufa
 
Civilised world imechoka ubabe wa myahudi:

Israel’s actions have gone beyond self-defense and it should heed the call of the international community.
Wang Yi
CHINESE FOREIGN MINISTER
 
Nimewadharau sana Israel wanapigana na majengo na wanawake na watoto badala ya wanaume wenzao.
Yalipokuwa yanafanyika Ukraine mlikuwa mnamshangilia Putin na kudai wanajeshi wa Ukraine walikuwa wakiwatumia raia kama ngao sasa yanapofanyika kwa wapalestina mnalalamika.

Nyamazeni tu kwa sababu magaidi wa Hamas wanajichanganya na raia na bomu haiwezi kubagua na isitoshe kwa nini wasiwafuate Israel moja kwa moja? Kwa nini wanajificha kwa raia? Bure kabisa.
 
Hadi nimeogopa, Israel kwa kweli sio ya kuchokozwa, kha! Yaani wakazi wa Palestina wataikumbuka hii miaka 100 ijayo, jinsi walivyoponzwa na magaidi ya kidini.
Na hapo bado wanasema kuna operesheni, wajuvi wa mambo mtujuze nini kingine kimebaki cha kupigwa hapa...Hadi misikiti imesambaratishwa, wababe wa ugaidi wa huo ukanda akina Iran wanaangalia tu hawana la kufanya.

Chondechonde rais wa nchi yangu nakuomba kwenye shobo zako usiwahi kuingia ugomvi na Israel..... Tugombane tu huku Afrika lakini shobo zisikutume kule, wale ni namba nyingine.


33XW9FD-highres-1697020236.jpg


AP23284437076778-1-1697090343.jpg


AP23284322500726-1697090320.jpg



AP23284511730844-1697036102.jpg



AP23283472349693-1-1697090303.jpg




2023-10-11T063007Z_1862764975_RC26Q3A6IT5T_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697006020.jpg


2023-10-11T132335Z_437210073_RC2OP3A8JEEO_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-GAZA-TIMELINE-1697050494.jpg



33XU9HR-highres-1696851222.jpg



2023-10-12T072255Z_1629287600_RC2VQ3AK3YLY_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-1697100739.jpg



Omera tumpongeze pia Urusi kwa kupiga majengo na kuua raia huko Ukraine maana naona scenes zinafanana.
 
Back
Top Bottom