Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,951
Hawajifichi ila hii nisababu inayotolewa na israeli kutokana na kushindwa kuwadhibiti hao wanangambo wa hamas. Tuliambiwa hapa kuwa wataanza uvamizi wa ardhini kuwafuata ndani ya Gaza hao wanaoitwa magaidi kiko wapi mpaka sasa? Israel anapigana vita unprofessional kabisa yani sikutegemea.Waambie hao wanaume waache kujificha kwa raia na watoto