Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,456
Aisee mapenzi ya sekondari yalikua sweet sana. Wakati huo mtu ulikuwa unapendwa just for being yourself. BF/GF alikuwa haihitaji chochote kutoka kwako other than your love and companionship. Mapenzi yalikuwa na upendo ulio sweet and innocent. Wasichana wa sekondari walikuwa so sweet. Hamna maperfum wala nini wananukia maziwa ya mama zao- no make-ups no wigs. Kila mtu hajui mapenzi kiivyo wote tunajifunza. Unyumba haukuwa muhimu kiivyo cha muhimu zaidi kilikuwa company na friendship. Nilikuwa napendwa na visichana vizuri, innocent, sweeter than sweeter - bichwa lilikuwa kuubwa. Tunaandikiana barua na kutumia vikadi. Life was like a movie. I will never forget those good old days.
Sasa mapenzi ya utu uzima ni vurugu tupu na kubanana na mapaka shume na mashankupe. Duuh!