Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,021
- 94,071
KWa kweli sio wote wanaotangatanga wamepotea ... nimekuwa na amani na huyu baba jamani lol
mashudu matupu hata kwa nguruwe hayafai....
KWa kweli sio wote wanaotangatanga wamepotea ... nimekuwa na amani na huyu baba jamani lol
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa
jamani za mwizi kweli 40 ila kuna wakati mwingine wenza wetu wanatusababishia kutembea nje ya ndoa jamani.tunahitaji neema za Mungu tu.
KWa kweli sio wote wanaotangatanga wamepotea ... nimekuwa na amani na huyu baba jamani lol
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa
Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda.
:israel::crazy:
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa
Mmmh Ledwin ... Nifanyeje niweze kuachana naye sasa??? Tambua tuko vizuri mmno....
Hapo kwenye red panahusika saaana....
Soma andiko hili hapa kuhusu zinaa...
01 Wakorintho 06:18 - 20 inasema...
18 Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.
19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
za mwizi siku hizi ni 20. zimepungua sana.
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa
Just simple! MBADILISHANE.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
we mwanayumba wa mtu,bora urudi kule ulipokimbia mwanzo kwa mapenzi ya rohoni, c umeona leo ndio wimbo wa taifa kila thread
shost kwani waume za watu wakoje,mbona leo kila thread nna mume wa mtu,nami nitafute nini ila no sitaki vunja ndoa za watu maana me nikamua atasahazu watoto na ukoo mzima,we dada kua na huruma kama mimi,kaa mbali na waume za watu,we unadhani c hatujui kama watamu,tulia hata bachelors watamu wapo
Kama wewe huivi na mmeo na yeye haivi na mke wake, unaonaje mkafanya makubaliano rasmi mkabadilishana partners?Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa