Aargh! siku hizi ni mchezo wa kuviziana tu bro, sio wanaume sio wanawakeKwa ndoa za siku hizi hii ni kama hadithi ya alfu lela ulela
Ni wimbo wa OTTU Jazz Band....Tulikotoka ni mbali sana, mapenzi yetu yalianza kwa vikwazo vingi....
Polisi tumefika mahakamani tumefika... hata hivyo kwa Mungu na Mola tumefika.......
Sijui nani aliimba wimbo huu
Hahahahaha!!Kama SAA hii tilivyo
Tatizo vigezo vya siku hizi sio. Hebu fikiria mtu anamuoa mtu kisa ana tako kubwaKwa ndoa za siku hizi hii ni kama hadithi ya alfu lela ulela
Wenye flat screen tuandike maumivu.Tatizo vigezo vya siku hizi sio. Hebu fikiria mtu anamuoa mtu kisa ana tako kubwa
Kama nakuona kimbaumbau mwenzanguWenye flat screen tuandike maumivu.
Usiandike bwana si umeona Gerald kamdate bonge kamuoa kimbaumbau.Wenye flat screen tuandike maumivu.
Na hapo huenda huyo anaelishwa kwanza alishatafuniwa na babu... kuna meno kweli hapoo?