Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Habari za jioni,hebu naomba tushauriane hili limenikuta.Nina g'fnd wangu anakituko ambacho sijakifurahia,alinikaribisha room kwake siku 1 tu kiukweli tulishea oral sex!lakini baada ya hapo hataki niingie tena ndani ya room yake,nikifika house anayokaa ananistopisha nje,anataka tuongelee nje.Hataki ni mguse.Naombeni mnifumbue ni nini kimejificha hapa?