miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Wana JF naomba msaada wenu tafadhali,nina mpenz wangu wa muda mrefu kidogo ila tulitengana kutokana na tabia ambayo sikuridhika nayo. Akaniomba msamaha nikachukua muda sana kumsamehe lkn tamati nikasamehe maana yapo mazuri pia aliyonifanyia nikahesabu kosa lile katereza, lakini kinachonishangasa sasa ni katika ufanyaji wa mapenz yetu mambo ni tofauti ananinyonya m***du mara km anataka aingize kidole,mara anaibana km punzi.Mambo hayo hapo awal hakuwa nayo naombeni maoni yenu.Na ndo yupo ktk process yakunioa.