William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,376
- Safari za nje za Viongozi na Maofisa wetu zimekuwa nyingi mno, ni muhimu tukawa na kipengele maalum katika Katiba kinachofuatilia hizo safari, ninaamini sana kwamba Mikutano mingi wanayokwenda huko nje inaweza kuwakilishwa na Maofisa wa Balozi zetu zilizoko nje. I mean tumefikia kupeleka maofisa wa Serikali nje kwenye Mikutano ya Misitu I was like are you kidding me or what? Kwa misitu gani tuliyonayo Bongo? Enough!
- Pia Viongozi na Maofisa wetu wasafiri kwenye Economic Class I mean what went wrong na hili taifa na kusafirishana kwenye Business na First Class, hivi mnaosafiri kwenye hizo Class kwa jasho la wananchi hamuoni huruma hata kidogo? We need to stop this madness, na pia marupu rupu ya Viongozi wa juu Wastaafu yapunguzwe it is just another insanity!
- Katiba mpya irudishe power to the people, kupitia kwenye Bunge letu, na ilenge hasa kwenye Uwajibikaji, Heshima kwa Sheria na Checks and Balance kwenye Utawala wa Juu, nimesema before ninasema tena kwenye hili la Katiba Mpya CCM lazima ichukue Bullet for the Good of our Nation na hasa the Future, no other way au tuwache kabisa lakini tusidanganyane!
MUCH RESPECT PEOPLE!
William @....NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
- Pia Viongozi na Maofisa wetu wasafiri kwenye Economic Class I mean what went wrong na hili taifa na kusafirishana kwenye Business na First Class, hivi mnaosafiri kwenye hizo Class kwa jasho la wananchi hamuoni huruma hata kidogo? We need to stop this madness, na pia marupu rupu ya Viongozi wa juu Wastaafu yapunguzwe it is just another insanity!
- Katiba mpya irudishe power to the people, kupitia kwenye Bunge letu, na ilenge hasa kwenye Uwajibikaji, Heshima kwa Sheria na Checks and Balance kwenye Utawala wa Juu, nimesema before ninasema tena kwenye hili la Katiba Mpya CCM lazima ichukue Bullet for the Good of our Nation na hasa the Future, no other way au tuwache kabisa lakini tusidanganyane!
MUCH RESPECT PEOPLE!
William @....NYC, USA: Mutuz Le Baharia!