Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Wapendwa wadau wa JF naomba kupewa taarifa rasimi na wizara au taasisi inayohusika na mbuga zetu za wanyama, mapato yake yanasaidia vipi maendeleo ya taifa?
Wananchi wanaoishi kwenye mikoa ya Manyara,Arusha, Mara iliyoko karibu na mbuga hizo wanafaidika vipi? Mahotel kama Birila Kempisk yamejengwa na nani kwa fedha kutoka wapi, kama ni wageni mbona nasikia zinauzwa kwa nini?
Nawaomba tafadhari mwenye taarifa atujulishe, waziri au taasisi, maana ni fedha nyingi zinakusanywa kila siku tupewe pia mahesabu yake.
Kwenye bunge budget yake iko vipi wabunge wa maeneo hayo mnayo taarifa au nayo ni meremeta? Nawasilisha.
Wananchi wanaoishi kwenye mikoa ya Manyara,Arusha, Mara iliyoko karibu na mbuga hizo wanafaidika vipi? Mahotel kama Birila Kempisk yamejengwa na nani kwa fedha kutoka wapi, kama ni wageni mbona nasikia zinauzwa kwa nini?
Nawaomba tafadhari mwenye taarifa atujulishe, waziri au taasisi, maana ni fedha nyingi zinakusanywa kila siku tupewe pia mahesabu yake.
Kwenye bunge budget yake iko vipi wabunge wa maeneo hayo mnayo taarifa au nayo ni meremeta? Nawasilisha.