Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kamati ya bunge ya maadili nchini Uganda imetangaza kuwasilisha bungeni hivi karibuni muswada utakao muwezesha mwananchi yeyote mwenye ushahidi wa ufisadi uliofanywa na kiongozi yeyote, aweze kuruhusiwa kumshtaki.
Muswada huo utailazimisha serikali kumpatia mwananchi huyo usaidizi/ushirikiano wowote atakaouhitaji ili kukamilisha upelelezi au ushahidi wake.
Na itakapotokea serikali imefanikiwa ku recover fedha iliyokuwa imefisadiwa, mwananchi huyo atajipatia 25% ya fedha hiyo.
Source:BBC
MYTAKE.
Sheria ya namna hiyo itatufaa sana hata hapa Tanzania. Hawa mafisadi wanaoitafuna nchi hii hadi jeshi la polisi linasema hawakamatiki tutaweza kuwashughulikia.
Muswada huo utailazimisha serikali kumpatia mwananchi huyo usaidizi/ushirikiano wowote atakaouhitaji ili kukamilisha upelelezi au ushahidi wake.
Na itakapotokea serikali imefanikiwa ku recover fedha iliyokuwa imefisadiwa, mwananchi huyo atajipatia 25% ya fedha hiyo.
Source:BBC
MYTAKE.
Sheria ya namna hiyo itatufaa sana hata hapa Tanzania. Hawa mafisadi wanaoitafuna nchi hii hadi jeshi la polisi linasema hawakamatiki tutaweza kuwashughulikia.