aseme haraka maana nazitaka.......
Kazi ipo, mbinu zetu zote mnazistukia. Lol.
wanaume wabaya hawa....khaaa....
aseme haraka maana nazitaka.......
nilipata ajali ya kuanguka bafuni......
usisumbuke nimekupenda hivo hivo bila hips Lool
Kwa hiyo hips zikapotea?
ziliyeyuka......ukiziona uniambie.....
Zilikuwa za Kichina?