Kuna wachumba walio kwenye uhusiano kwa muda wa zaidi ya mwaka sasa,
mwanaume anafanya kazi na ana miradi midogo pamoja na mipango ya muda mrefu ya investment.
Mwanamke aliwahi kusoma chuo fulani lakini hakumaliza() na hivyo yuko nyumbani
tu kwa sasa.
Jamaa huwa akimuuliza kuwa unafikiri utakuwa tayari lini kufunga ndoa? mamaa amekuwa akisema ngoja kwanza nisome ili na mimi nipate kazi niwe na uwezo wa kukusaidia kutafuta.
Ukweli ni kwamba jamaa yuko makini sana na mikakati ya kimaisha kuhakikisha kuwa familia yake tarajiwa itaishi katika furaha na amani(financially,spirtually & emotionally). Mara nyingi amekuwa akimuhakikishia "my wife" wake mtarajiwa kuwa "we gonna make it a worth family hata kama kwa sasa huna kipato as i have a lot of plans to share with you".
Pamoja na kumpa mifano hai ya hizo plan bado binti ansisitiza kuwa na kipato chake kwanza.
Jamaa anchoomba kusaidiwa ni kwaba kati yao wawili kuna mtu ana mtazamo
mbaya au wote wawili au wote wawili wako sahihi?
Kutokana na jibu ulilonalo unamshuri au kuwashuri nini?
Tafadhalini jamani hii siyo hadithi ya kutunga, ushauri wenu ni wa muhimu sana.
Kwa kuwatoa shaka wachangiaji hawa wawili wanapendana sana kwa mujibu wa kauli na matendo yao wenyewe. hakuna shaka kabisa ila shida yao ni mtazamo tu.
mwanaume anafanya kazi na ana miradi midogo pamoja na mipango ya muda mrefu ya investment.
Mwanamke aliwahi kusoma chuo fulani lakini hakumaliza() na hivyo yuko nyumbani
tu kwa sasa.
Jamaa huwa akimuuliza kuwa unafikiri utakuwa tayari lini kufunga ndoa? mamaa amekuwa akisema ngoja kwanza nisome ili na mimi nipate kazi niwe na uwezo wa kukusaidia kutafuta.
Ukweli ni kwamba jamaa yuko makini sana na mikakati ya kimaisha kuhakikisha kuwa familia yake tarajiwa itaishi katika furaha na amani(financially,spirtually & emotionally). Mara nyingi amekuwa akimuhakikishia "my wife" wake mtarajiwa kuwa "we gonna make it a worth family hata kama kwa sasa huna kipato as i have a lot of plans to share with you".
Pamoja na kumpa mifano hai ya hizo plan bado binti ansisitiza kuwa na kipato chake kwanza.
Jamaa anchoomba kusaidiwa ni kwaba kati yao wawili kuna mtu ana mtazamo
mbaya au wote wawili au wote wawili wako sahihi?
Kutokana na jibu ulilonalo unamshuri au kuwashuri nini?
Tafadhalini jamani hii siyo hadithi ya kutunga, ushauri wenu ni wa muhimu sana.
Kwa kuwatoa shaka wachangiaji hawa wawili wanapendana sana kwa mujibu wa kauli na matendo yao wenyewe. hakuna shaka kabisa ila shida yao ni mtazamo tu.