bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
"Unaitajika ushauri wako katika hili mwanajf:
katika familia moja iliyodumu
kwa muda mrefu pasipo
mtoto,wakiangahika huku na kule ili wajue nini na nani ni chanzo.
Na baadaye madaktari bingwa
wakagundua kuwa baba ndiye
mgumba.
Ikatokea kheri siku moja mama akashika mimba. Katika
kujifungua inabid apone
mmoja kat ya mama au
mtoto.
Ungekuwa ni wewe umealikwa/umeombwa utoe Ushauri daktari, ungemshauri
amuokoe nani kati ya mama na mtoto?".
katika familia moja iliyodumu
kwa muda mrefu pasipo
mtoto,wakiangahika huku na kule ili wajue nini na nani ni chanzo.
Na baadaye madaktari bingwa
wakagundua kuwa baba ndiye
mgumba.
Ikatokea kheri siku moja mama akashika mimba. Katika
kujifungua inabid apone
mmoja kat ya mama au
mtoto.
Ungekuwa ni wewe umealikwa/umeombwa utoe Ushauri daktari, ungemshauri
amuokoe nani kati ya mama na mtoto?".