mwanaludewa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 764
- 523
Edo Kumwembe ni miongoni mwa vijana wachache wanajitambua hapa bongo!Wengi wetu tumeishia kushabikia zilipendwa vs ceduce me!Hatuna muda japo kujifunza mambo ya msingi na tunaamini kila aliyefanikiwa ni mpiga dili,kwamba kiongozi anaweza kunyoosha nchi!Kumbe kinachonyoosha nchi ni katiba na hatuna habari nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app