Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 676
Kwanza nina- declare interest,Mimi ni Mtanganyika,na naipenda Tanganyika. Baada ya hayo,turudi kwenye mada. Nimekuwa natafakari kuhusu maadhimisho ya miaka 50 ya Tanganyika, kuanzia maandalizi,matangazo, ushiriki na kila kitu, nikajikuta naona kama " haya maadhimisho yanafanywa na Tanzania, ambayo na Zanzibar wamo.
Sijui kwa upande wa gharama ikoje,lakini kubwa zaidi ni ile dhana ya ushiriki kama TAIFA, huku ikiwa dhahiri inatuhusu Watanganyika, lakini ikifanywa na Tanzania. Sijui kama huko Zanzibar kuna hata kibwagizo kinachosikika,kuhusu Uhuru huo wa Tanganyika /tanzania/tanganyika /tanzania.....???? Je Ikifika Jubilee ya uhuru wa Zanzibar, itakuwa vipi?
Tanzania itahusika? walau hata kupiga Promo???? Nidhahiri huu muundo wa Serikali hautufai tena.
Mnaionaje jambo hili Wanajamvi?
Sijui kwa upande wa gharama ikoje,lakini kubwa zaidi ni ile dhana ya ushiriki kama TAIFA, huku ikiwa dhahiri inatuhusu Watanganyika, lakini ikifanywa na Tanzania. Sijui kama huko Zanzibar kuna hata kibwagizo kinachosikika,kuhusu Uhuru huo wa Tanganyika /tanzania/tanganyika /tanzania.....???? Je Ikifika Jubilee ya uhuru wa Zanzibar, itakuwa vipi?
Tanzania itahusika? walau hata kupiga Promo???? Nidhahiri huu muundo wa Serikali hautufai tena.
Mnaionaje jambo hili Wanajamvi?