Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
mdhamini mkuu wa Young Sports Club ya jijini dsm amekutana na wachezaji wa timu hiyo ili kuelezwa ni kwanini wameanza vibaya kwenye mashindano yanayoendelea hivi karibuni.
Manji alikutana na wachezaji hao alipowaalika kula nao chakula katika hotel ya Kilimanjaro jiji dsm. Je yanga mtafanikiwa kufanya vyema katika mechi zinazoendelea ili kuwapa moyo mashabiki wenu.
habari hii ni kutokana na magazeti ya leo
Manji alikutana na wachezaji hao alipowaalika kula nao chakula katika hotel ya Kilimanjaro jiji dsm. Je yanga mtafanikiwa kufanya vyema katika mechi zinazoendelea ili kuwapa moyo mashabiki wenu.
habari hii ni kutokana na magazeti ya leo