2015phunter
Senior Member
- Dec 15, 2016
- 103
- 81
Hata sijui...tumuulize tupatupa wa lumumba
Manji ahitajika Uhamiaji: Ofisi ya uhamiaji jijini Dar imemtaka mfanyabiashara Yusufu Manji kuripoti kwenye ofisi hizo baada ya kutoka hospitali alikolazwa.
>> Ofisa Habari wa uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam
amedai kuwa Manji ameajiri watu wanaoishi nchini kinyume cha sheria.
--------------------------------------
Kuacha habari hiyo mimi binafsi ningependa kuwashauri mamlaka ya uhamiaji ili kututhibitishia kuwa Operation hii kuwa sio ya visasi wala chuki binafsi kama inavyodhaniwa na wengi. Iendelee kwenye makampuni mengine hasaa yanayomilikiwa na Wahindi
Kumekuwa na Utitiri wa Raia wa India ambao wamekuwa wakifanya kazi ambazo wazawa wana uwezo wa kuzifanya
Wenzetu kenya wameweza kudhibiti utitiri wa Raia wakigeni kufanya kazi ambazo Raia wa kenya wana uwezo wa kuzifanya. Mfano mmojawapo ni kampuni ya Kenya Airways ukiacha Uongozi wa juu ambao ni Kuna Raia wa kigeni wachache. Wengine wote kuanzia mafundi wa ndege hadi marubani ni Wakenya wenyewe
Mfano mwingine ni kiwanda chao cha kutengeneza Magadi soda yanayotumika kutengeneza sabuni na vitu vingi kana vioo na chupa za glasi (soda hash dese) kiwanda chao kinaitwa TATA CHEMICALS kinachomilikiwa na raia India
Kiwanda hicho kimetoa ajira kwa maelfu ya watu kenya kuanzia ajira rasmi na zile zisizo rasmi. Lakini mshangao ni kuwa katika maelfu ya waajiriwa wa kiwanda hicho Wahindi wapo wawili tu yaani GM(General manager) na Mhindi anaye husika na maswala ya Account tuu,, wengine wote ni wakenya
Lakini hapa kwetu utakuta kampuni kuanzia Utawala hadi Operations sector kumejaa raia wa kigeni
NA WEWE KWA AKILI YAKO KUWA NA PASI NDIO UMEAJIRIWA? KWANI MGENI HARUHUSIWI KUINGIA NA KUPATA VISA YA MIEZI MIATATU ? UMESIKIA MTU AKIAJIRIWA KWA VISA YA MIEZI MITATU ? HALAFU ATATOKA VIPI ?Kwa akili yako hizo pasi zilijileta Tanzania? Au Immigration wamezitengeneza?
Ha ha ha ha ha ha......jamaa utadhani trafic Polisi, wakikukosa kwenye leseni, watadai kadi ya gari, wakikukosa hapo wataulizia bima.........ili mradi tu wakupate, hata kukuambia mbona gari chafu hawashindwi...........ngoja tusubiri mwisho wa hili saga.
Mshamba sana huyo mzee anasaka cheo kupitia kivuli cha manjiHuyo jamaa anaongea kwa mbweembwe utadhani amamkamata Osama.
UHAMIAJI WAKAMATA PASSPORT 126 QUALITY GROUP.
Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport 126 ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yake bila vibali vya uhamiaji....
John Msumule ambaye ni Afisa Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam amesema, hii Kampuni ya Quality Group ipo katika jengo la Quality Center Barabara ya Nyerere kama unaelekea Uwanja wa ndege wa JNIA ni mkono wa kushoto. tumefanya kazi Ijumaa baada ya kuwekwa tu ndani yaani kesho yake jumamosi, tukapata Passport 126, Hizi ndizo zenye makosa. Tumechambua, passport 25 hawana vibali vya kufanya kazi, kwahiyo wanafanya kazi kinyume na utaratibu. Wote hawa hatua zitachukuliwa na watapelekwa Mahakamani.
Lakini lazima niseme ukweli, hawa hawatapelekwa peke yao mahakamani, lazima Yusuf Manji ambaye ndiye mwajiri wa watu hawa ambaye ndiye Mmliki wa Kampuni hii lazima afikishwe mahakamani kujibu shitaka la kuajiri watu wageni wasio na vibali. Jana tulikuwa tumkamate alale mahabusu na leo ndio tumpeleke Mahakamani, Bahati mbaya tulipokwenda kumkamata, tukaapewa taarifa kwamba amelazwa Hospitalini hadi sasa.
Mara tu atokapo, aliport ofisi hii ili tumuunganishwe kwenye kesi hii ya kuajiri watu wasio na vibali. Hatutajali ukubwa wa hela yako, hatutajali cheo chako cha mahali popote pale, hatutajali kwa njia yoyote ile una mamlaka gani katika nchi ya Tanzania.
Utakamatwa, utawekwa ndani, utajibu mashitaka.
View attachment 470417
Yusuf Mehbub Manji ni mfanyabiashara maarufu nchini Tanzaznia na Diwani wa Kata ya Mbagala kuu(CCM) Jimbo la Mbagala Dar es Salaam. Vilevile ni Mwenyekiti wa Club ya Mpira ya Nchini Tanzania Yanga Afrika SC.
Hivi hakushitakiwa? Wonders will never end.yes yeye na mke wake wamelisha watu wengi arv feki
Una maono makali sanaHawa jamaa bana. nakumbuka wale wa dangote walipewa vibali vya muda wakiwa wanaendelea kusubiri kushughulikiwa vibali vya moja kwa moja. sasa hapa naanza kuamini yakua ku na chuki binafsi kati ya manji na hii awamu, manji kaajiri zaidi ya watz 5000, cjajua dangote km inafika hiyo idadi, manji analipa kodi, cjajua km dangote keshaanza kulipa hiyo kodi namaana km keshamaliza grace period. kuna kitu hapa. Nadhani kwa sasa manji afunguke ili tujue nadhani ndio itakua salama yake ila akikaa kimya hatuwezi jua. ni ndoto tu nimeota.
Wanataka asalimu amri sio?muongezen kesi nyingine maana mnaogopa kushtakiwa
Kweli eenh!!! Huyu mwingine alishirikiana na mke wake. Hivi mwanamke ndiye allikuwa mbunge?siyo, ni yule marehemu mwingine
MPAKA WAMCHUKIZE MKUBWA, VINGINEVYO SAHAUNIkamateni na wachina waliojaa mbeya huku wakifanya kazi za wazawa na kuiba mali asili zetu kwa mgongo wa tafiti!
Usimchukie kwa sababu ni Asian huo ni ubaguzi ni unaoneka hapo ulipo hata mlo wa mchana hujala na isitoshe uzeeni lazima utakuwa mchawi tuSafi sana serikali ya magufuli kwa kuonyesha nia ya kumshughurikia huyu mdosi mavi,mm siwapendi kabisa hawa asians people.nimefrah sana kuona mnaanza washughurikia hawa wanyonyaji njii hii