Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

nakumbua mwaka 2010 maeneo Njedengwa na Chadulu A,Dodoma yalibomolewa mara baada tu ya uchaguz mkuu kuisha,pia wakazi wa chasimba na maeneo ya karibu na kiwanda cha twiga cement (wazo),dar walibomolewa pia baada ya uchaguz mkuu.nini huwa chanzo au ndo vile kubadilisha chama cha siasa,kama njedengwa,dodoma au nini chanzo?
 
Too bad. hii haikuwepo kwenye ilani ya ccm, waendelee tu kujipunguzia kura za 2020
 
Chezea Dola, wakimaliza huko sasa walojifungia ofisini, sababu kuwacha watu wajenge hadi ndani ya hifadhi ya barabara.
 
Hapa kazi tu.Tubomolewe ila wasisahau lile jengo jeupe pale pothta.Hivi Msasani wanakuja saa ngapi?

muxar;
Msasani wapi?? Kule kwa wazee hafiki mtuuuu. Malofa na Wapumbavu ndo watakiona cha moto hadi wajue ccm ni ndumeee. Yaani we acha tu. Kilio hiki hata Mola hasikii tena, huku wanaendelea kuapishwa kulee mjengoni
 
Mkome,sii mlivaa vikanga,kofia, t shirt mkidhani ukawa ndo adui.Somen namba hasa watu wa DSM....siwasomi kabisa.
Pombe kaza hapo hapo
 
nimeangalia hio video...kwa kweli inasikitisha.

time napita ilikua asubuhi kuna mtoto mmoja ana mitihani
halafu nyumba ikawa inabomolewa kila kitu kiko ndani hata
uniform alikua hana mama ake analia tu, wasamaria ndio wakawa
wanamchangia ela ya stationaries, nauli ili aende kufanya mtihani
 
Ccm ni ile ile na hakuna FIDIA mtaisoma namba.

Isijekuwa ni kisasi cha wana Kinondoni kuonyesh nia yao ya kutaka mabadiliko ya kweli. Nasikia kura za urais ni aibu tupu alizopata JPM, lakini kwa sababu katiba yetu inampa mamlaka ya umungu mwenyekiti wa NEC ndo hivyo tena>
 
Watz hawaeleweki kabisa, serikali ikisimamia sheria mnalalamika, ikifumba macho mnalalamika, hivi mnataka nini hasa?

Kama watu waliishi hapo kinyume cha sheria, hakuna namna zaidi ya kuwaondoa. So tusilete siasa kwenye mambo ya msingi kama haya, kumbe hadi mahakama ilishaamuru watoke.
 
Mkome,sii mlivaa vikanga,kofia, t shirt mkidhani ukawa ndo adui.Somen namba hasa watu wa DSM....siwasomi kabisa.
Pombe kaza hapo hapo
Watu waliomchagua magufuli hawana maduka mwenge wala msasani.fanya tathmini ya kina utapata jibu zuri tu ,isitoshe wilaya ya kinondoni ccm walipigwa vibaya kuanzia urais hadi udiwani
 
Nimemuangalia huyo bibi kwenye hiyo video .. magufuli Ni katili, inasikitisha.
 
Wewe ndiye mpotoshaji mkuu. Unajua kuwa enzi za Nyerere ilikuwa nadra sana kuvamia maeneo ya wazi? mji wa Dar ulikuwa na sehemu nyingi sana za wazi siyo uchafu uliopo sasa

Wewe unaongelea kitu kiuvamia, mimi naongelea kitendo cha serikali ya Nyerere kuwatoa watu katika mashamba na makazi yao mbali kabisa na barabara, kisha kuwahamishia sehemu mita 30 toka katikati ya barabara, ikawajengea shule, zahanati, kuwapimia ardhi na kuwapa hati miliki.

Leo hii maeneo hayo yanaitwa hifadhi za barabara.
 
Mimi naomba kifusi tu, maana kanyumba kangu pale kijichi kanataka udongo wa kuinua uwanaja na sina hela ya kukodi malori. Waje na huku karibu angalua nikipate.
Hapa Mwenge opposite magorofa ya Jeshi kazi inaendelea, hasara ni kubwa, kazi imeanza saa kumi usiku mpaka sasa hivi kazi inaendelea.

Bomoabomoa hiyo inaendelea eneo la mwenge karibia na maghorofa ya jeshi, wakazi wa eneo hilo wanadai kuwa hawakupewa taarifa kuwa bomoabomoa inakuja.

Wakazi wa eneo hilo walalamikia hasara kubwa iliyowakumbwa, washindwa kuokoa vitu vilivyoko ndani.

===================






 
Last edited by a moderator:
The relevance of where shall I be this time tomorrow all slums dwellers were demolished their house and the government build the Bangalore for their families
 
tatizo si sheria za mipango miji kuzingatiwa na wala kuwabomolea si suluhisho, zaidi ni kuwatia hasara tu.

suluhisho ni watu wa mipango miji kuongeza kasi ya kupima maeneo. kasi ya upimaji haiendani na hitajio. ikiwa maeneo yote yatapimwa kwa wakati basi hakuna atakaejenga maeneo yasiyopimwa. leo uwe na hela mkononi lakini kukipata kiwanja kilichopimwa ni big issue na ukikipata basi utashika adabu yako mana salio bank linaweza kusoma zero...

Ukitaka kiwanja kilichopimwa nenda MLANDIZI au UBENA
 
Back
Top Bottom