M MAKAWANI Senior Member May 3, 2012 101 29 Jun 21, 2012 #2 Haya chacha; wanaosema Mnyika kakosea kuthema dhaifu waseme ndiooooooooooooooo!!!!!!
M mang'ang'a JF-Expert Member Oct 18, 2010 828 379 Jun 21, 2012 #3 Dingswayo said: View attachment 57129 Maneno ya busara haya! Click to expand... Tu forward kwa Ndugai aiweke bungeni for future use
Dingswayo said: View attachment 57129 Maneno ya busara haya! Click to expand... Tu forward kwa Ndugai aiweke bungeni for future use
Mlangaja JF-Expert Member Nov 2, 2010 579 218 Jun 21, 2012 #4 Mnyika umefanya vizuri. Umesema, pamoja na kuwa na uchache wenu.
M matawi JF-Expert Member Mar 29, 2010 2,052 242 Jun 21, 2012 #5 Mlangaja said: Mnyika umefanya vizuri. Umesema, pamoja na kuwa na uchache wenu. Click to expand... Mnyika kumbe alipest hii mungu amlinde ampe nguvu
Mlangaja said: Mnyika umefanya vizuri. Umesema, pamoja na kuwa na uchache wenu. Click to expand... Mnyika kumbe alipest hii mungu amlinde ampe nguvu
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,210 42,072 Jun 21, 2012 #6 Safi sana kaka kwa kuleta hii. Ukweli utabaki ukweli tu. Big up mnyika kwa kusema ukweli.
J Jeho JF-Expert Member Jul 2, 2011 5,053 5,504 Jun 21, 2012 #7 ruttashobolwa said: Safi sana kaka kwa kuleta hii. Ukweli utabaki ukweli tu. Big up mnyika kwa kusema ukweli. Click to expand... Kwa siasa, uongo utaendelea kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo. WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
ruttashobolwa said: Safi sana kaka kwa kuleta hii. Ukweli utabaki ukweli tu. Big up mnyika kwa kusema ukweli. Click to expand... Kwa siasa, uongo utaendelea kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo. WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Jun 21, 2012 #8 Nimeipenda sana nadhani JJ, ZITTO & co waliisoma hii philosophy
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Jun 21, 2012 #9 kweli baba...huyu mkuu kanena jambo la ukweli sana