engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,263
- 1,106
Jamaa wanaoa wanawake wanne na kitimoto wanagonga.raha ya hizi dini ni kuwa moja kuoa wanne ruksa na moja kula kitimoto ruksa ngoma droo hapo
Jamaa wanaoa wanawake wanne na kitimoto wanagonga.raha ya hizi dini ni kuwa moja kuoa wanne ruksa na moja kula kitimoto ruksa ngoma droo hapo
...yah kwa sshv huwezi iona ila its just a matter of time na utakumbuka haya niliyokuambia...Ulaji wa pork ni kama chakula kingine chochote na mimi huwa nakula bila issues. Kila aina ya chakula dunia hii kina side effect ya kiaina.
Lakini masuala ya ndoa huwezi fananisha na chakula, wanawake kuolewa wengi kwa mume moja kwenye maisha yetu haya ya kisasa na changamoto tulizonazo. Wataliwa sana, kuna mafisi huko nje.
meonaa eeh dume limejitupa zima zima aiseeeDaaah!!!! Kwa kweli Papuchi zina nguvu sana ulimwenguni.
Hehehehe!! umeniacha hoi kwa kicheko.meonaa eeh dume limejitupa zima zima aiseee