white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
hatimaye manchester united yatolewa kwenye kombe la carling na timu ndogo!haya yote yanatokana na kocha kupanga makinda makinda tu,natoa angalizo sir.alex ferg asipoangalia atakuja stafu kwa aibu kubwa sana.na ndio kikombe ambacho angeweza ambulia kwa msimu huu,kwani hayo mengine(uefa,fa na ligi)maji marefu kwa jinsi timu ilivyo sasa!!