Mamia warejesha kadi za CCM - Kilimanjaro. Umaskini watajwa kama Chanzo cha kukosa imani na chama hicho

Fredrick J Mbwambo

New Member
Jul 3, 2020
4
93
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa.

Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa.

"Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi.

IMG_20200730_180137_306.jpeg
IMG_20200730_180553_100.jpeg
 
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa. Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa. "Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi. View attachment 1522330View attachment 1522331
Ngombe watawachungia mfukoni! Ngoja Jiwe aje1, hawajasikia ya Bwege! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa. Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa. "Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi. View attachment 1522330View attachment 1522331
Hawa wamasai wameona mbali. Watanzania mifukoni Hali ni mbaya.ndio sababu wajumbe wa CCM waliamua kufa na kupona kuwalamba wagombea ,kisa mifukoni ni shida.miradi mikubwa ya maendeleo ikija kukamilika wananchi wengi watakuwa wamepoteza maisha kwa njaa au dhiki mbali mbali na magonjwa ya pressure. Kuna ukanda hapa tanzania wananchi Wana fedha mifukoni na mwingine Hali ni mbaya hata mlo wa siku hakuna. Kubana matumizi na ugonjwa wa corona vyote vimewalemea wananchi na uchumi wa o umedorora.
 
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa.

Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa.

"Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi.

View attachment 1522330View attachment 1522331
Hawa ndio ma mia??
 
VIP Hawa hawajanunuliwa? Maana wakitokea upinzani Kwenda CCM huwa inasemekana wamenunuliwa.
 
Cdm bado wanatumia mbinu za EL photo shopping mamvwi aliwafanya kitu mbaya. Kauli zao, DW, BBC na VOA ni hizi maelfu wampokea Lissu., kumbe ni makumi.
 
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa.

Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa.

"Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi.

View attachment 1522330View attachment 1522331
Propaganda mlisomea wapi? Iraq au Belgium?
 
Mamia ya wananchi wa jamii ya kimaasai Wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa madai yale waliyoahidiwa tangu 2015 hayakutelezwa.

Wamesema ahadi za maji safi, Barabara, hospital na utatuzi wa migogoro baina ya jamii ya wafugaji yamekuwa hadithi huku mbunge wao Mathayo David (CCM) akiongoza kwa miaka 20 sasa.

"Tumeamua kutafuta Mabadiliko kwingine, umaskini umekuwa ukiongezeka, hatuna imani na CCM tena" alinukuliwa kiongozi wa jamii hiyi ya Kimaasai alieongoza wenzake kujiunga na CHADEMA. Wananchi hao wamepokelewa na Kada wa CHADEMA Fredrick Justine, mwenywkiti wa BAVICHA pamoja na Katibu wa BAWACHA kata ya Same Mjini Mh Haicca Ngowi.

View attachment 1522330View attachment 1522331
Kumekucha. Yetu macho.
 
Back
Top Bottom