KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
kada acha upenzi..hata wengine ccm lakini ukweli lazima usemwe ...jk kapoteza umaarufu..source za waliokuwa uwanjani zinasema hakuwa na ile kicheko chake cha kawaida ...ana mawazo mengi..na hata katika haliisiyo ya kawaida aliwakwepa waandishiambao siku zote ni marafiki zake...ni wa kumuonea huruma for sure..
tofauti na ule umati unaomlaki kila mara wa jana ulikuwa wa kulazimisha....watu walisombwa na mabasi na nauli juu..na wala hawakuwa wengi ...wapo wachache walioenda kwa moyo na walikereka sana na kitendo cha wengi walopelekwa pale kuvaa magwanda...capt komba alifanya kazi kubwa sana ya kuiimba ili kuendelea kuvutia watu pale uwanjani...it was no as usual....hata jk atakuwa amegundua kuwa ule umati haukuwa wa rohoni kama wakati mwingine...
Nimekupata !