'Mamia' wampokea Kikwete

kada acha upenzi..hata wengine ccm lakini ukweli lazima usemwe ...jk kapoteza umaarufu..source za waliokuwa uwanjani zinasema hakuwa na ile kicheko chake cha kawaida ...ana mawazo mengi..na hata katika haliisiyo ya kawaida aliwakwepa waandishiambao siku zote ni marafiki zake...ni wa kumuonea huruma for sure..

tofauti na ule umati unaomlaki kila mara wa jana ulikuwa wa kulazimisha....watu walisombwa na mabasi na nauli juu..na wala hawakuwa wengi ...wapo wachache walioenda kwa moyo na walikereka sana na kitendo cha wengi walopelekwa pale kuvaa magwanda...capt komba alifanya kazi kubwa sana ya kuiimba ili kuendelea kuvutia watu pale uwanjani...it was no as usual....hata jk atakuwa amegundua kuwa ule umati haukuwa wa rohoni kama wakati mwingine...

Nimekupata !
 
Hivi Dr. Slaa naye akirudi na kupokewa na mamia ya watu baada ya kuwa nje kwa wiki mbili itakuwa ni habari ya kupigiwa panda?
 
Na wiki ijayo anaelekea Italia. Sijui atasindikiwa na mamia wangapi na kupokewa na wangapi atakaporejea.
 
Hayo mapokezi ni propaganda na ishara ya watu wenye upeo finyu sana. Labda waniambie wanampenda sana Kikwete na walim-miss alipokuwa hayupo na ndio maana wakajitokeza kwa wingi sana kumpokea la sivyo mimi nimehitimisha kuwa hao watu ni cross-section of the vast majority of the general population. Sasa msishangae Kikwete akichaguliwa kwa 90% kwenye uchaguzi mkuu ujao......I'd hate to remind you that 'I told you so'
 
Hapana wakuu, Zitto amekuwa akipokewa huko mikoani na hata Dar, alihutubia na mvua tukakubali wananchi walijaaa,

Sasa na Muungwana, akipokelewa isiwe etna wamepewa elfu tano, hiyo inakuwa ni below the belt, viongozi wetu wote wanapendwa na wananchi wote upinzani na baadhi katika CCM,

kilichobaki tusubiri kusikia Muunagwana atasema nini au atafanya nini kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya viongozi wake!
 
Hapana wakuu, Zitto amekuwa akipokewa huko mikoani na hata Dar, alihutubia na mvua tukakubali wananchi walijaaa,

Sasa na Muungwana, akipokelewa isiwe etna wamepewa elfu tano, hiyo inakuwa ni below the belt, viongozi wetu wote wanapendwa na wananchi wote upinzani na baadhi katika CCM,kilichobaki tusubiri kusikia Muunagwana atasema nini au atafanya nini kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya viongozi wake!

...ila haya mapenzi mengine nayo yamezidi sasa....aaaaggghh
 
Hapana wakuu, Zitto amekuwa akipokewa huko mikoani na hata Dar, alihutubia na mvua tukakubali wananchi walijaaa,

Sasa na Muungwana, akipokelewa isiwe etna wamepewa elfu tano, hiyo inakuwa ni below the belt, viongozi wetu wote wanapendwa na wananchi wote upinzani na baadhi katika CCM,

kilichobaki tusubiri kusikia Muunagwana atasema nini au atafanya nini kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya viongozi wake!

absolutely right !
 
“Atatoka nje tutamuona, safi sana,” alisikika akisema mmoja wa vijana waliofika uwanjani hapo, akiwa amebeba bango lenye maandishi ‘Hongera Rais kwa kazi nzuri ya kujenga taifa’
Vijana wana mapenzi na rais... hapana shaka wanakunwa ipasavyo na utendaji wa serikali yake..
 
FMES,

Sina matatizo na wananchi ambao wanaenda kwa hiari yao kumpokea rais au Zitto au Mtanzania.

Matatizo yangu ni hili la watendaji wa serikali kuacha kazi zao zote na kwenda kushinda airport eti kumpokea rais anarudi. Hii ni wastage of time and resources.

Mkuu inabidi tubadilike, haya mambo ya kwamba ni jadi zetu, sawa mbona hata kutokusomesha wanawake ilikuwa jadi yetu? Mbona tumebadilika na sasa hao dada zetu wamesoma na wanatamba mpaka UN?

Wakati unapita, haya mambo ya kupokelewa kama wafalme yamepitwa na wakati, kwasasa mtu atakuwa judged kwa delivery na sio maneno au uwingi wa watu wanaomshangilia.

Hii tabia iko kwa watu wote kuanzia wabunge mpaka rais wetu. Hii ni karne ya 21, tutaendelea kupoteza muda hivyo mpaka lini? Eti hata wabunge wanaposafiri basi na wapambe wao wanaenda kushinda VIP, jamani hivi kweli hata mbunge lazima apitie VIP?
 
FMES,

Sina matatizo na wananchi ambao wanaenda kwa hiari yao kumpokea rais au Zitto au Mtanzania.

Matatizo yangu ni hili la watendaji wa serikali kuacha kazi zao zote na kwenda kushinda airport eti kumpokea rais anarudi. Hii ni wastage of time and resources.

Mkuu inabidi tubadilike, haya mambo ya kwamba ni jadi zetu, sawa mbona hata kutokusomesha wanawake ilikuwa jadi yetu? Mbona tumebadilika na sasa hao dada zetu wamesoma na wanatamba mpaka UN?

Wakati unapita, haya mambo ya kupokelewa kama wafalme yamepitwa na wakati, kwasasa mtu atakuwa judged kwa delivery na sio maneno au uwingi wa watu wanaomshangilia.

Hii tabia iko kwa watu wote kuanzia wabunge mpaka rais wetu. Hii ni karne ya 21, tutaendelea kupoteza muda hivyo mpaka lini? Eti hata wabunge wanaposafiri basi na wapambe wao wanaenda kushinda VIP, jamani hivi kweli hata mbunge lazima apitie VIP?

Mkuu wangu heshima mbele, I am with you hapa lugha moja!
 
Back
Top Bottom