Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 16,228
- 25,041
Baada ya Mamelodi Sundowns kumtwanga Al Ahly na kuingia hatua ya fainali ya michuano ya African Football League hii inaweza ikawa ni darasa la bure ambalo Yanga SC wamelipata la namna ya kumfunga Al Ahly kwani Wananchi wana kibarua cha kukutana nao kwenye michezo ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika......hakuna kufa kiume
FT: Al Ahly 0-0 Mamelodi (Agg: 0-1).
Fainali ya African Football League ni Wydad AC Vs Mamelodi Sundowns
NB: soka la huku kusini mwa Africa....linawahitaji Yanga na mamelodi Ili kubalance mpira wa Africa
FT: Al Ahly 0-0 Mamelodi (Agg: 0-1).
Fainali ya African Football League ni Wydad AC Vs Mamelodi Sundowns
NB: soka la huku kusini mwa Africa....linawahitaji Yanga na mamelodi Ili kubalance mpira wa Africa