Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini jana ilitwaa ubingwa wa soka Afrika kwa ngazi ya klabu kwa kuishinda Zamalek ya Misri 3-1.
Pamoja na jana kulala kwa bao moja kwa bila nchini Misri,Mamelodi walilinda vyema ushindi wao wa 3-0 walioupata nyumbani kwao Afrika ya Kusini.
Sasa ni rasmi Mamelodi Sundowns ya Afrika ya Kusini ni mabingwa wapya wa klabu bingwa barani Afrika.
=======
Patrice Motsepe, mmiliki wa Mamelodi Sundowns amesema wachezaji wa klabu hiyo watagawana USD 1.5m zitokanazo na kushinda Klabu Bingwa Afrika.
Pamoja na jana kulala kwa bao moja kwa bila nchini Misri,Mamelodi walilinda vyema ushindi wao wa 3-0 walioupata nyumbani kwao Afrika ya Kusini.
Sasa ni rasmi Mamelodi Sundowns ya Afrika ya Kusini ni mabingwa wapya wa klabu bingwa barani Afrika.
=======
Patrice Motsepe, mmiliki wa Mamelodi Sundowns amesema wachezaji wa klabu hiyo watagawana USD 1.5m zitokanazo na kushinda Klabu Bingwa Afrika.