NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
na huyo kwenye picha ndio wewe????naona ushajibadili mdudu,,mabinti wa kiarabu mnakuwa wazuri sana, halafu hamtofautiani urembo. Sijui ingekuwaje mgeruhusiwa kushiriki miss world?
na huyo kwenye picha ndio wewe????naona ushajibadili mdudu,,mabinti wa kiarabu mnakuwa wazuri sana, halafu hamtofautiani urembo. Sijui ingekuwaje mgeruhusiwa kushiriki miss world?
Mmefumaniana??
OOOHO!!!! Pole Fidel, mitihani hio, Bro, usijali utaweza!!!
Kuna jamaa kalewa sana wamem-do
Wengine Yesu Kristo kazaliwa mioyoni mwao na wameacha ulevi, umalaya, sigara, ujambazi na mifarakano kwenye ndoa zao wamekuwa watu wapya na wanafurahia maisha mapya ya kiroho na amani imetawala mioyoni mwao.
wengine wamekuwa wababa na wamama bila kutarajia...
Mi mamsapu wangu kalala rumande kesi leo dah
Pauline jina lako tamu sana. Sio kuwa sijawahi kulisikia, ila hilo jina linanikuna sana hata nikilitamka. Natamani nioe mwanamke wa jina hilo
na huyo kwenye picha ndio wewe????naona ushajibadili mdudu,,
Alinikuta na toto dogo dogo akamtwanga na chupa ya konyagi kashonwa nyuzi 7
Uwiiiii! Ufisadi huo.
We acha tu alimtwanga mke mwenzie na chupa
Mi nimemwachia msala aendelee kuoza huko lock up maana kajichukulia sheria mkononi
Aah kumbe alikua miongoni ya wale wazululaji pole sana.
masikiniiiiii. Sasa na wewe ulikuwa unamfanya nini toto dogo? Alikuwa saiz yako? Au ulikuwa unasaka bikira?
Aaaah bana watoto wa siku balaaa anaonekana mtoto mwili lakini anayajua mambo ya kikubwa kuliko hata mzazi wake
vipi wewe ulitolewa au ulitoa?Sikukuu za Christmas na Boxing Day zimeisha. Wengine wamejirusha na family zao marafiki ndugu na jamaa, wengine ndoa zimevunjika, wengine wamekamatwa kwa fujo, wengine wametolewa bikira, wengine wamefumaniwa, wengine wameambukizwa, wengine wamelala mtaroni, wengine wamepoteza maisha . . . Sasa tusubili New Year 2011
vipi wewe ulitolewa au ulitoa?
Akome!