Mambo Tunayofanya Majumbani na Hayampendezi Mungu

ujue rafiki mie sijui ninaish bado na zile imani za kizamani, iko hivi kila mtu hula sahan yake lkn nataka nyama ziliwe za mwisho baada ya chakula chote, na hii huwafanya kwamba wapime chakula wanachoweza kumaliza yaani wasibakize manake kikibaki basi zibaki nyama.

niliwafunza hivi baada ya kuona baadhi ya watoto wanauchu sana na unapompakulia msosi utaskia niongenzee kidogo af akila kidogo tu tena nyama anaacha utaskia nimeshiba, mie kwangu nikasema spendi wawe na uchu, nataka wajue kuyakadiria matumbo yao na wale msosi wanaomaliza pasi kubakiza makombo.

Mwl gfsonwin hapo kwenye nyama nime papenda sana na hapo umecheza, saa nyingine watoto wanaweza wakaonekana hawajawai kula nyama.

Sasa hapo kwenye kula kila mtu saani yake ni nzuri hila siku moja jaribu kuwaweka kwenye saani moja alaf angalia ulaji wao, maana wengine unaweza kuwaona wanakula vyema sababu wana kula kila mtu ana kula kwenye sahani yake na kuna tabia ya watoto kudhani kuwa mwenzie ana mmalizia.

Sasa unapo kuja kuwaweka kwenye sahani moja unaweza kukuta wana kula kama wako kwenye mashindano.
Ili zoezi linapendeza kwa watoto wanao shahabiana umri.

Na kuna hili swala la mtu kula na huku ana tafuta kama ana tafuna mawe na sauti ina toka kabisa utasikia kwakwakwakwakwakwa

Na hiita tabia ya kula hivi unaweza ukaiona kwa watu wazima ukadhani ni kosa lao kumbe limechangiwa na malezi na wazazi kuto wafunza watoto table manner na hili linaanzia utotoni kabisa na wengi ni sababu ya kila mtu kula kivyake na wengine wamejificha kumbe wana tengeneza tabia.

...
 
Last edited by a moderator:
Karucee umenena vyema kabisa na hayo yote yana sababishwa na malezi ya wazazi kabisa!

Kuna nyumba fulani nilikwenda aiseee nilikutana na mtoto mtundu sijawai kuona
Nilipo ingia tuu mtoto alinipokea kwa kuniuliza utalala wapi? Kwakweli kama angekuwa mwingine anaweza fikiri mtoto katumwa.

Tabia za watoto zina changiwa sana na wazazi! Wazazi wa siku hizi hawachapi, mtoto ana lelewa kama yai.

........................................................................
Kama huwa una angalia Futuhi star tv kuna siku walio nesha yule jamaa wa kigoma ame kwenda kumsalimu kaka yake.

Alipo fika alimkuta shemeji yake, hila kaka yake hakuwepo na alipo taka kuondoka shemeji yake akamwambia kuwa subiri hata unywe soda, kitendo cha shemeji yake kutoka na kwenda jikoni,mtoto wa kaka yake alito kea na kuanza kumrukia huku akisema uncle,uncle na kuendelea kumpandia hadi kichwani, jamaa alianza kukasirika lakini shemeji yake alipo tokea kumkataza mtoto jamaa akasema muache tuuu huku moyoni ana umia.


Mtoto alikwenda kwenye viatu vya uncle wake na kutoa soksi na kuanza kuzinusa na hakika soksi zilikuwa zimetoboka na mtoto alienda nazo na kumwambia uncle wake soksi zako zina nuka,jamaa nusu amrukie daaa mtoto akazivaa na viatu juu,hahaha jamaa
alisononeka sana na kukosa raha.

Shemeji yake alipo kuja kumkataza mtoto na kumwambia avue tena kwa kumbembeleza jamaa alisema muache tuu usijali huku anaona aibu.


Kama hiyo haitoshi alirudii na kumkwapua tsh elfu kumi uncle wake iliyo kuwa kwenye mfuko wa shati lakini mama yake alitoke na kumwambia arudishe lakini jamaa akasema mwachie tuu hiyo ni zawadi yake huku akiumia na ilioneka ndio pesa aliyo kuwa nayo...

Mwisho wa siku jamaa aliamua kuaga na kuondoka huku akiwa mnyonge.


Nilijufunza kitu kwenye hili igizo kuwa wazazi wana changia kuharibu watoto.


Watoto wa siku hizi wana kosa
vitamini ya viboko.

Thread yako ina jenga sana na naona sasa jukwaa linaanza kupendeza

Teh teh teeeeeeeeh. lols.

Thank You
 
1. Kutupa chakula.

Jamani jamani ni vibaya mno kuchezea chakula. Kuna watu sehemu tofauti duniani wanakufa kwa njaa na wewe nyumbani kwako unatupa chakula bila sababu. Hivi kuna sababu nzuri ya kutupa chakula? Why don't you just cook reasonable portions for everyone.

Unakuta mitoto inaiga Tv wanapakana vyakula na kuvichezea. Little baboons.

2. Not giving back to Society.

Kuna familia hawajui kuna watu wengine wana exist isipokuwa wao wenyewe. Nakumbuka tulivyokuwa wadogo baba yetu alikuwa kila mwezi anakusanya sabuni, vyakula, nguo, viatu etc na tunaenda vituo vya watoto kuwatembelea na kuwapelekea hizi zawadi. Akishindwa kila mwezi basi haizidi three months.

Tujifunzeni kutoa misaada kwa watu wasiojiweza katika jamii inayotuzunguka. Kuna watu wanaishi katika hali ngumu sana ya kimaisha. Una khanga yako kuna mama itamsitiri. Usipelekee zilizochakaa. No, unaweza peleka used but in good condition. Usisubiri Krismasi au Eid, siku hizi zingine watakula nini? Watavaa nini?

3. Lack of Worship in Homes

Unakuta watoto hawaendi msikitini hawaendi kanisani. Tatizo ni nini? Lazima tukubali ama tukatae kwamba God has a role in our lives and in those of our kids. Bring the kids up to have the fear of the Lord in their hearts and they will turn out just right.

Wewe kama umekubuhu na umeshajua utakuwa 'welcoming committee' in hell basi waepushe wanao na moto. Na sio moto tu, dunia yenyewe hii haijulikani inaendaje watakaofaulu ni wanaomjua Mungu tu.

4. Kuwashirikisha Watoto Kwenye Masuala ya Kiutu Uzima Yasiowahusu

Wewe bi dada wewe, watoto unawafanya ndio mashosti wako wa kuwahadisia baba yao alivyo mjinga na mhuni. Watoto wenyewe walivyo adogo hawaelewi chochote they just stare back at you.
Na hata wawe wakubwa unawapa picha gani? Kwamba marriage is a bitch they should stay away from? Woman please!!

Ama ukute mbaba karudi na pombe zake, kazi ni ugomvi na mke wake mbele ya watoto. Limerudi bwax linawaamsha watoto kuwaambia alot of nothing.

Some poeple were not meant to be parents.

5. Substance Abuse in Our Homes

Kuna nyumba bwana ukiingia the stench that comes from there is unbearable. Moshi moshiiii wa sigara. Watoto mle ndani wanaishije? Starehe za wazazi hazina mipaka ya kuwaruhusu watoto wakue salama? Achilia mbali wageni, you can choose not to give a ---- about them. But please let us consider the kids.

6.Indisciplined Kids

Some kids bwana, behave like little monkeys thanks to their parents. Utakuta ka little monkey hakajui kukiwa na wageni, kanarukia wageni, kanachukua mikoba ya wageni kanafungua, lol. Kuna kamoja kashawahi kufungua pochi kakajijaza lipstick weee. lols. Little monkey indeed.

The kids have to be taught when to play and withing what limits.

Kuna watoto watamu aisee. Ukifika wanakuamkia, wanakupokea, wanakuhudumia chochote then they are off huwasikii hata. Yummy yummy kids. Ila I don't blame them. Ni wazazi wao tu hamna mwingine.

Kwa sasa ni hayo tu.

Feel free to add some as you deem fit.
Karucee.
Dark City, The Boss, EMT Ruttashobolwa, Angel Nylon Ennie, King'asti, farkhina OLESAIDIMU BAK, Desert Storm, Mrs Kharusy, Ntakasi.....

Ni member mgeni jf ila nilikuwa napitia tu thread km visitor but i used to love your threads and comments since last year mpaka leo.Hongera mama;
 
Last edited by a moderator:
Zamani wakati mama yupo tulikuwa tunaenda kwa bibi shule zikifungwa.

Malezi yalipobaki ya baba pekee yake ikawa hamna hata sleepovers.

Sijui ndo maana mi mzito sana kuwatembelea watu ( asipaone Babu Dark City ) na napenda marafiki wachache?

Umesomeka Karucee,

Ila kwa bibi utakuja tu...lol!
 
Last edited by a moderator:
1. Kutupa chakula.

Jamani jamani ni vibaya mno kuchezea chakula. Kuna watu sehemu tofauti duniani wanakufa kwa njaa na wewe nyumbani kwako unatupa chakula bila sababu. Hivi kuna sababu nzuri ya kutupa chakula? Why don't you just cook reasonable portions for everyone.

Unakuta mitoto inaiga Tv wanapakana vyakula na kuvichezea. Little baboons.

2. Not giving back to Society.

Kuna familia hawajui kuna watu wengine wana exist isipokuwa wao wenyewe. Nakumbuka tulivyokuwa wadogo baba yetu alikuwa kila mwezi anakusanya sabuni, vyakula, nguo, viatu etc na tunaenda vituo vya watoto kuwatembelea na kuwapelekea hizi zawadi. Akishindwa kila mwezi basi haizidi three months.

Tujifunzeni kutoa misaada kwa watu wasiojiweza katika jamii inayotuzunguka. Kuna watu wanaishi katika hali ngumu sana ya kimaisha. Una khanga yako kuna mama itamsitiri. Usipelekee zilizochakaa. No, unaweza peleka used but in good condition. Usisubiri Krismasi au Eid, siku hizi zingine watakula nini? Watavaa nini?

3. Lack of Worship in Homes

Unakuta watoto hawaendi msikitini hawaendi kanisani. Tatizo ni nini? Lazima tukubali ama tukatae kwamba God has a role in our lives and in those of our kids. Bring the kids up to have the fear of the Lord in their hearts and they will turn out just right.

Wewe kama umekubuhu na umeshajua utakuwa 'welcoming committee' in hell basi waepushe wanao na moto. Na sio moto tu, dunia yenyewe hii haijulikani inaendaje watakaofaulu ni wanaomjua Mungu tu.

4. Kuwashirikisha Watoto Kwenye Masuala ya Kiutu Uzima Yasiowahusu

Wewe bi dada wewe, watoto unawafanya ndio mashosti wako wa kuwahadisia baba yao alivyo mjinga na mhuni. Watoto wenyewe walivyo adogo hawaelewi chochote they just stare back at you.
Na hata wawe wakubwa unawapa picha gani? Kwamba marriage is a bitch they should stay away from? Woman please!!

Ama ukute mbaba karudi na pombe zake, kazi ni ugomvi na mke wake mbele ya watoto. Limerudi bwax linawaamsha watoto kuwaambia alot of nothing.

Some poeple were not meant to be parents.

5. Substance Abuse in Our Homes

Kuna nyumba bwana ukiingia the stench that comes from there is unbearable. Moshi moshiiii wa sigara. Watoto mle ndani wanaishije? Starehe za wazazi hazina mipaka ya kuwaruhusu watoto wakue salama? Achilia mbali wageni, you can choose not to give a ---- about them. But please let us consider the kids.

6.Indisciplined Kids

Some kids bwana, behave like little monkeys thanks to their parents. Utakuta ka little monkey hakajui kukiwa na wageni, kanarukia wageni, kanachukua mikoba ya wageni kanafungua, lol. Kuna kamoja kashawahi kufungua pochi kakajijaza lipstick weee. lols. Little monkey indeed.

The kids have to be taught when to play and withing what limits.

Kuna watoto watamu aisee. Ukifika wanakuamkia, wanakupokea, wanakuhudumia chochote then they are off huwasikii hata. Yummy yummy kids. Ila I don't blame them. Ni wazazi wao tu hamna mwingine.

Kwa sasa ni hayo tu.

Feel free to add some as you deem fit.
Karucee.
Dark City, The Boss, EMT Ruttashobolwa, Angel Nylon Ennie, King'asti, farkhina OLESAIDIMU BAK, Desert Storm, Mrs Kharusy, Ntakasi.....

samahani hivi utakuwa hujaolewa bado, au tayari washakuwahi? Maana kuna watu ukiwasikia tu they match with the kind of personality you are looking for, nusu nisahau kusema ahsante kwa mawaidha. karucee aiseee! Kama nakuona vile
 
Last edited by a moderator:
samahani hivi utakuwa hujaolewa bado, au tayari washakuwahi? Maana kuna watu ukiwasikia tu they match with the kind of personality you are looking for, nusu nisahau kusema ahsante kwa mawaidha. karucee aiseee! Kama nakuona vile

Ukichunguza saaana wengi wa waandikao point humu ndani utakuta;

- they are married

ama

- ukibahatika kuonana nao, ni ndugu zako,lol!!!!
 
Kuna video nimeiona whatsapp ya watoto wa shule hapa hapa Bongo.

Wawili wa kike na mmoja wa kiume.

Huyo mmoja wa kike anacheza kama Khanga moko.

I swear it makes me so so sad.

hata mimi nimeoina ni hasara kwa kweli mtoto anakatika mpaka analala chini afu mijimama inaenda kutunza
 
samahani hivi utakuwa hujaolewa bado, au tayari washakuwahi? Maana kuna watu ukiwasikia tu they match with the kind of personality you are looking for, nusu nisahau kusema ahsante kwa mawaidha. karucee aiseee! Kama nakuona vile

Taken!
 
bestiti ungemfanyaje huyo mtoto wako

Wanajua kabisa kwamba nanyuka, wanajua vipindi vyao na tulishakubaliana, kinyume na hapo wananijua nikiwa na wazimu nikikamata ndala ya kimasai kinaeleweka, mana ndio fimbo yangu hiyo, mtoto wangu niliemzaa mwenyewe kwa umri wao hawanishindi aisee,ntawatengeneza kuanzia sasa huko mbeleni wakivurunda nilifanya wajibu wangu.
 
Kuna video nimeiona whatsapp ya watoto wa shule hapa hapa Bongo.

Wawili wa kike na mmoja wa kiume.

Huyo mmoja wa kike anacheza kama Khanga moko.


I swear it makes me so so sad.

Na mie niliiona hiyo video, mama watu wazima wanaenda kabisa kuwatunza, yule kama anacheza kanga moko kasipodhibitiwa mapema hii ni bomu litakalolipuka vibaya kabisa, kuna ile nyingine kibinti kipo sijui ni bafuni pale ama vipi, anakachezea katoto kadogo ka kiume, umeshaiona? siku hiyo nimetumiwa hiyo video machozi yalinitoka, katoto ka watu kameshaharibiwa mapema vile jamani, kibinti kinachezea chululu ya mtoto, mara akipe style hii, aliponimaliza nilipanyanyua mguu mtoto azame huko.:A S cry:
 
Na mie niliiona hiyo video, mama watu wazima wanaenda kabisa kuwatunza, yule kama anacheza kanga moko kasipodhibitiwa mapema hii ni bomu litakalolipuka vibaya kabisa, kuna ile nyingine kibinti kipo sijui ni bafuni pale ama vipi, anakachezea katoto kadogo ka kiume, umeshaiona? siku hiyo nimetumiwa hiyo video machozi yalinitoka, katoto ka watu kameshaharibiwa mapema vile jamani, kibinti kinachezea chululu ya mtoto, mara akipe style hii, aliponimaliza nilipanyanyua mguu mtoto azame huko.:A S cry:

Hahaha you had the dry eyes 'guts' to watch the whole video...!?????
 
1. Kutupa chakula.

Jamani jamani ni vibaya mno kuchezea chakula. Kuna watu sehemu tofauti duniani wanakufa kwa njaa na wewe nyumbani kwako unatupa chakula bila sababu. Hivi kuna sababu nzuri ya kutupa chakula? Why don't you just cook reasonable portions for everyone.

Unakuta mitoto inaiga Tv wanapakana vyakula na kuvichezea. Little baboons.

2. Not giving back to Society.

Kuna familia hawajui kuna watu wengine wana exist isipokuwa wao wenyewe. Nakumbuka tulivyokuwa wadogo baba yetu alikuwa kila mwezi anakusanya sabuni, vyakula, nguo, viatu etc na tunaenda vituo vya watoto kuwatembelea na kuwapelekea hizi zawadi. Akishindwa kila mwezi basi haizidi three months.

Tujifunzeni kutoa misaada kwa watu wasiojiweza katika jamii inayotuzunguka. Kuna watu wanaishi katika hali ngumu sana ya kimaisha. Una khanga yako kuna mama itamsitiri. Usipelekee zilizochakaa. No, unaweza peleka used but in good condition. Usisubiri Krismasi au Eid, siku hizi zingine watakula nini? Watavaa nini?

3. Lack of Worship in Homes

Unakuta watoto hawaendi msikitini hawaendi kanisani. Tatizo ni nini? Lazima tukubali ama tukatae kwamba God has a role in our lives and in those of our kids. Bring the kids up to have the fear of the Lord in their hearts and they will turn out just right.

Wewe kama umekubuhu na umeshajua utakuwa 'welcoming committee' in hell basi waepushe wanao na moto. Na sio moto tu, dunia yenyewe hii haijulikani inaendaje watakaofaulu ni wanaomjua Mungu tu.

4. Kuwashirikisha Watoto Kwenye Masuala ya Kiutu Uzima Yasiowahusu

Wewe bi dada wewe, watoto unawafanya ndio mashosti wako wa kuwahadisia baba yao alivyo mjinga na mhuni. Watoto wenyewe walivyo adogo hawaelewi chochote they just stare back at you.
Na hata wawe wakubwa unawapa picha gani? Kwamba marriage is a bitch they should stay away from? Woman please!!

Ama ukute mbaba karudi na pombe zake, kazi ni ugomvi na mke wake mbele ya watoto. Limerudi bwax linawaamsha watoto kuwaambia alot of nothing.

Some poeple were not meant to be parents.

5. Substance Abuse in Our Homes

Kuna nyumba bwana ukiingia the stench that comes from there is unbearable. Moshi moshiiii wa sigara. Watoto mle ndani wanaishije? Starehe za wazazi hazina mipaka ya kuwaruhusu watoto wakue salama? Achilia mbali wageni, you can choose not to give a ---- about them. But please let us consider the kids.

6.Indisciplined Kids

Some kids bwana, behave like little monkeys thanks to their parents. Utakuta ka little monkey hakajui kukiwa na wageni, kanarukia wageni, kanachukua mikoba ya wageni kanafungua, lol. Kuna kamoja kashawahi kufungua pochi kakajijaza lipstick weee. lols. Little monkey indeed.

The kids have to be taught when to play and withing what limits.

Kuna watoto watamu aisee. Ukifika wanakuamkia, wanakupokea, wanakuhudumia chochote then they are off huwasikii hata. Yummy yummy kids. Ila I don't blame them. Ni wazazi wao tu hamna mwingine.

Kwa sasa ni hayo tu.

Feel free to add some as you deem fit.
Karucee.
Dark City, The Boss, EMT Ruttashobolwa, Angel Nylon Ennie, King'asti, farkhina OLESAIDIMU BAK, Desert Storm, Mrs Kharusy, Ntakasi.....
Lovely Karucee, for this well-rounded, mature and readable advice to parents.The light touch approach you have adopted has greatly wowed me, thanks! Yes, indeed some parents are likely members for the 'welcoming committee' in the eternal furnace. Umenifurahisha sana Karucee na umenikumbusha familia moja niliyoitembelea. Nilikaribishwa sitting room kama
kawaida halafu wenyeji wangu wote wakatoweka. Baada ya muda mfupi mama mwenye nyumba akaibuka akiwa na chupa ya cocacola na opena. Akaiweka kwenye stuli na kuifungua huku akiniambia,"karibu soda shemeji!" Nikiwa nimejaa hofu, hasira na woga nikamjibu, "Asante" huku nikiishika chupa ilokuwa na moto kama pasi.
Mimi hasilani sinywi cocacola, soda yangu ni sprite tena iwe bariiidi.Sasa siku hiyo nikakaribishwa na lichupa la coca ya moto. Ilibidi nibuni kisingizio tight sana cha kutoinywa hiyo soda.
Kwa hiyo Karucee kwa kuongezea thread yako nasema hivi: Familia zijufunze skills za kukaribisha wageni majumbani.
And btw, kitufe cha 'like' sikioni, nilitaka sana kukutupia 'like.'
 
Hahaha you had the dry eyes 'guts' to watch the whole video...!?????

Iliniumiza sana ile video, kwanza nilijuta kwanini niliiangalia mana ilinipa hofu ya ajabu na kufikiria mbaliii sana, nimemfikiria kidume changu nikazidi kuumia, unafikiria ndio mama uone kidume chako kinafanyiwa vile lazima uchizike kwa muda.
 
Back
Top Bottom