AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
juzi Simba walisherekea kutimiza miaka 80 toka ianzishwe kwa kucheza na fc leopard ya Kenya ambapo waliweza kuibuka na ushindi wa goli 4-0.
Katika tamasha la Simba day kuna baadhi ya vitu vilifanyika mabvyo kwa upande mwingine viliibua hisia kwa mashabiki wa Simba na Yanga,chini ni video ya Dk 1 inayoyaonyesha matukio yote ambayo hukuweza kuyatazama au kuyaona katika tv station iliyokuwa inaonyesha mchezo huo,wala kuandikwa katika magazeti.
Tahadhari,yote utakayoyaona katika video hii si mtazamo wetu wala hakuna nia mbaya ya kuonyesha hayo ila ni kufunza na kuelimisha jamii haswa mashabiki wa vilabu hivi vikubwa katika siku zijazo
Katika tamasha la Simba day kuna baadhi ya vitu vilifanyika mabvyo kwa upande mwingine viliibua hisia kwa mashabiki wa Simba na Yanga,chini ni video ya Dk 1 inayoyaonyesha matukio yote ambayo hukuweza kuyatazama au kuyaona katika tv station iliyokuwa inaonyesha mchezo huo,wala kuandikwa katika magazeti.
Tahadhari,yote utakayoyaona katika video hii si mtazamo wetu wala hakuna nia mbaya ya kuonyesha hayo ila ni kufunza na kuelimisha jamii haswa mashabiki wa vilabu hivi vikubwa katika siku zijazo