Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,142
- Kutokukojoa mapema mkojo ukikushika.
- Kutokunywa maji ya kutosha.
- Kula chumvi sana kwenye chakula.
- Kutokujitibu magonjwa ya kawaida kwa haraka na vizuri.
- Kula nyama sana.
- Kutokula chakula cha kutosha.
- Kutumia Vidonge vya kukata maumivu kwa wingi.
- Kutokula kwa wingi vyakula vyenye virutubisho.
- Kunywa pombe kupita kiasi.
- Kutopumzika vya kutosha.