Mama Suzan Kolimba, nani alikutuma uunge mkono juhudi za mabeberu za kutaka tusifyatue kwa kwenda mbele?

China wapo zaidi ya bilioni moja na hatuwafikii kiuchumi. Nigeria wapo zaidi ya milioni 170 na hatuwafikii kiuchumi hata kwenye masuala ya kiutamaduni na kijamii. Sisi ambao hatujafika milioni 60 ndio tuwe na hofu eti wingi wa watu ndio ukaribishaji wa umaskini!!.

Ongezeko na mipango.
Kasi ya Ongezeko na Mipango ya hiyo kasi ya Ongezeko.
Kivuko cha MV Nyerere kilizama na watu zaidi ya 250 huku capacity yake ni 101 na tumeambiwa kivuko kile kinahudumia watu zaidi ya 50000, jibu hapa utaona tumeshindwa kuweka utaratibu mzuri wa kuhudumia watu wale 50000.
Kuzaliana sio kosa kosa ni pale mnapozaliana huku hamuwezi na hamzaweza kuweka mipango kulingana na kasi hiyo na idadi ya watu wenu.. Baada ya miaka X tutakuwa watu X na serikali imeweka utaratibu X kuhudumia na kuitumia idadi X.

China walizaliana wakiwa na Mpango maalumu ambao umefanikiwa ndio maana wakaweka plan ya mtoto mmoja kwa familia moja, sasa wana plan nyingine ambayo hatujui itachukua miaka mingapi, kuhakikisha wachina wanasambaa dunia nzima lengo kuitawala dunia na kuwepo kila sehemu and this is special project ndio maana sasa wameongeza idadi kufikia watu 2 kwa familia moja.
Wahindi waliweka hiyo plan nafikiri sasa unaona wahindi wako kila mahali na bado wanajaribu kupambana na mchina hasa kwenye hardware maana kwenye software mchina alikuwa bado akajaribu kuiba kwa wahindi, utaona namna gani duniani watu wanaishi kwa mipango.

Tujadiliane kwa uhalisia, sisi tunataka kuzaana tuna mipango gani na ya muda gani na lengo letu tuwe wangapi na tumeweka mikakati kwenye hiyo idadi? TUSIJADILI KISHABIKI TAFADHALI.
 
Wewe ni mmoja wa wale watoto wa smartphone, watoto wa miaka ya juzi juzi. Mmezaliwa kitu cha kwanza kukifanya ni kujiunga facebook na twitter.
Very funny, you got it wrong. Mimi gwiji wa haya mambo kitambo tu enzi za darhotwire, yahoomessenger, mpaka na blog nilikuwa nayo. Unapoongea shudu lazima uambiwe.
 
Mashudu unayaongea wewe, jikite kwenye hoja punguza dharau za kitoto.
Hoja uliyoitoa ni nyepesi eti kwa kuwa china wapo wengi..... na sisi, kumbuka sisi tupo kweny nchi za tjird world mfano wako ni irrelevant sababu hali halisi inaonekana kuanzia kwa mtu m1m1 na collectively, hii nazungumzia kwa majority ya nchi yetu sisi ni bado masikini na mfano hai ambao bado haujaisha machungu ni juzi tu kivuko kimezama kama Taifa tunasubir tuopoe maiti. Alaf tunasahau kazi kuwaza kwenda kulala uchi tu na kuzaliana huu nduo ushudu wenyew alaf tunataka akili hizi eti tuendelee, Miaka milioni tutapiga mark time.
 
Hoja uliyoitoa ni nyepesi eti kwa kuwa china wapo wengi..... na sisi, kumbuka sisi tupo kweny nchi za tjird world mfano wako ni irrelevant sababu hali halisi inaonekana kuanzia kwa mtu m1m1 na collectively, hii nazungumzia kwa majority ya nchi yetu sisi ni bado masikini na mfano hai ambao bado haujaisha machungu ni juzi tu kivuko kimezama kama Taifa tunasubir tuopoe maiti. Alaf tunasahau kazi kuwaza kwenda kulala uchi tu na kuzaliana huu nduo ushudu wenyew alaf tunataka akili hizi eti tuendelee, Miaka milioni tutapiga mark time.
Mkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.

Kila anayekuja duniani anakuja na kipaji chake, anakuja na karama tofauti na ya mwingine. China imewatumia watu wake wengi kama soko la bidhaa zake.

Dangote na utajiri wake chanzo chake ni simenti inayouzwa humo humo Nigeria. Makampuni ya simu yanatajirika Nigeria kwa sababu ya soko, ambalo ni watu.

Usidanganywe na hawa kina Bill Gates na wazungu wengine ambao hawataki Afrika iwe na ongezeko kubwa la watu ili wabakie na utajiri wao.

Huwezi kukwepa changamoto ya maendeleo eti kwa kigezo cha wingi wa watu. Kumbuka kuwa nchi inaweza kubakia na umaskini wake licha ya uchache wa watu.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
yeye mbona anao 2 tu?

anataka kumasikinisha Watanzania awatawale kirahisi!!
 
Hivi Ummy maticha huwa ni ngoma ya nani ile wazee,dahhhhhh kweli wakubwa wanafaidi sana!

Mtoto wa Korogwe girls huyo.

Viti maalum tokea enzi za JK hadi JPM

Lakini ni mmoja wa watu maalum sana, na ni mtu wa watu.

Na hata DG wa zamani (enzi za JK) wa ile idara yetu pale Oysterbay ni baba mlezi.

Huyu amefuatilia khasa maagizo ya mkulu khasa ile ya kupiga ban vilainishi.

Pia anaweka sheria ya kupiga marufuku ndoa za chini ya 18.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
China tangu mwaka 79 walikuwa na sheria kabisa ya mtoto mmoja kwa kila family, so kila family iliwekeza kwa elimu na afya ya mtoto. Family ziliweza ku save na ku prosper, huku serikali ikiwekeza ktk Maendeleo kwa ujumla. Ni kweli kuna uhusiano wa umaskini na watoto wengi ktk family. Sheria ya China kuruhusu kuzaa zaidi imebadilika karibuni tu. Usiwe simple minded.
 
Mkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.

Kila anayekuja duniani anakuja na kipaji chake, anakuja na karama tofauti na ya mwingine. China imewatumia watu wake wengi kama soko la bidhaa zake.

Dangote na utajiri wake chanzo chake ni simenti inayouzwa humo humo Nigeria. Makampuni ya simu yanatajirika Nigeria kwa sababu ya soko, ambalo ni watu.

Usidanganywe na hawa kina Bill Gates na wazungu wengine ambao hawataki Afrika iwe na ongezeko kubwa la watu ili wabakie na utajiri wao.

Huwezi kukwepa changamoto ya maendeleo eti kwa kigezo cha wingi wa watu. Kumbuka kuwa nchi inaweza kubakia na umaskini wake licha ya uchache wa watu.
Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangible
Mkuu yako ni mawazo ya kilofa. Nigeria kwa wenye kuifahamu ni nchi maskini ingawa ipo juu yetu.

Kila anayekuja duniani anakuja na kipaji chake, anakuja na karama tofauti na ya mwingine. China imewatumia watu wake wengi kama soko la bidhaa zake.

Dangote na utajiri wake chanzo chake ni simenti inayouzwa humo humo Nigeria. Makampuni ya simu yanatajirika Nigeria kwa sababu ya soko, ambalo ni watu.

Usidanganywe na hawa kina Bill Gates na wazungu wengine ambao hawataki Afrika iwe na ongezeko kubwa la watu ili wabakie na utajiri wao.

Huwezi kukwepa changamoto ya maendeleo eti kwa kigezo cha wingi wa watu. Kumbuka kuwa nchi inaweza kubakia na umaskini wake licha ya uchache wa watu.

Tatizo kama nchi hatujui nin tunataka huyu akija anatupeleka hivi na mwingine tunaenda vile, Huwez pata tangible.wawekezaji utaishia kupata makusanyo ya yangeyange barabarani na viwanda vya matofali tukamuone kodi tu. Sasa sisi tu hapa 60m nanga inapaa unataka watu wafungulie zipu utawalisha watoto wa watu? hiyo ni utashi wa mtu kama anaona anao uwezo wa kubudumia familia yake well n good azae tu hata idadi ya mchanga lkn sio sababu eti mtu kasema.
 
Unatumika wewe siyo bure, eti Uzazi wa mpango, sababu umasikini. Ni mawazo ya kijinga kabisa, nani alikuambia kwamba watu wengi ni chanzo cha umasikini? Huo ni utafiti wa mabeberu, wa kimagharibi, ambao wanatumia vi NGOs na wakiwanunua watu kwa viposho uchwara ili wajikute wamenunuliwa kiakili bila kujua, kama wingi wa Watu ni chanzo cha umasikini, basi China ingekuwa masikini kupita nchi zote Duniani, kwa sababu idadi ya watu wake ni sawa na Waafrika wote na Simu zetu. Rwanda na Burundi zingekuwa tajiri kupundukia kwa kuwa na idadi ndogo za watu. Uzazi wa mpango ni mikakati ya wazungu kutafutia ajira watu wao kupitia NGOs. Hivyo ni Upumbavu na ujinga kutumika na wazungu kwa kuaminishwa kwa tafiti feki na za kipumbavu na kijinga. Mtu yeyote ukimuona anapinga ushauri wa JPM ambapo alisema watu wazae watoto ambao wanaweza kuwalea, wasipangiwe, eti zaa 2, 3, au 4 tu. Kama unaweza kuwatunza zaa kadri ya uwezo wako. Cha muhimu tuchape kazi tu. Hata mimi upumbavu wa kufuata mawazo ya kijinga ya Wazungu siyakubali kabisa.
Kama unavaa “suruali”, shati, kofia au saa ya mkononi, una simu, hukai nyumba ya nyasi, kama una computer, wewe ni mfuasi wa “MAWAZO YA KUPUMBAVU” ya wazungu!
 
Tufyatuane tu itafahamika 2050
image_e04d4762-86c4-414c-ba3c-c032102fb38520180927_111932.jpeg
 
Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangible


Tatizo kama nchi hatujui nin tunataka huyu akija anatupeleka hivi na mwingine tunaenda vile, Huwez pata tangible.wawekezaji utaishia kupata makusanyo ya yangeyange barabarani na viwanda vya matofali tukamuone kodi tu. Sasa sisi tu hapa 60m nanga inapaa unataka watu wafungulie zipu utawalisha watoto wa watu? hiyo ni utashi wa mtu kama anaona anao uwezo wa kubudumia familia yake well n good azae tu hata idadi ya mchanga lkn sio sababu eti mtu kasema.
Katikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.

Kumbuka kuwa USA na Russia hazikuendelea ndani ya mwezi mmoja tu. Sisi tuna miaka 57 tu ya uhuru. Tunauhitaji mchango wa kila anayezaliwa.
 
Katikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.

Kumbuka kuwa USA na Russia hazikuendelea ndani ya mwezi mmoja tu. Sisi tuna miaka 57 tu ya uhuru. Tunauhitaji mchango wa kila anayezaliwa.
Nadhani wewe sio mwenzetu, watoto kibao wapo tu mitaani shule wanayopata ni duni wanaishia kuimba tu nyimbo ili watoke, wengine wamekuwa madansa wafikir unatengeneza taifa la aina gani huko mbeleni. Wanao soma vizur ni watoto wanaojiweza anagalau.
 
Nadhani wewe sio mwenzetu, watoto kibao wapo tu mitaani shule wanayopata ni duni wanaishia kuimba tu nyimbo ili watoke, wengine wamekuwa madansa wafikir unatengeneza taifa la aina gani huko mbeleni. Wanao soma vizur ni watoto wanaojiweza anagalau.
Mkuu usimkufuru Mungu kwa sababu ya umaskini wa unaowaona njiani. Tanzania imekuwa na dhambi ya ufisadi, hilo ni tatizo.

Lakini ukiondoa ufisadi na hela inayopatikana ikatumika ipasavyo, watapungua hao masikini. Holly wood na matajiri wote walio pale, kuna ombaomba wanaolala kwenye nyumba za maboksi.
 
Naona sasa mama yangu mambo yamekufika hapa. Japo kuwa kiubinadamu huko duniani ulikuwa sawa lakini hukuweza kusoma alama za nyakati. Hukuweza kumjua bwana mkubwa anataka nini.

Nakumbuka wakati mmoja JK aliwahi kutangaza idadi ya watu ambapo alishtuka sana baada ya kugundua kuwa mwaka 2012 wa Tz tulikuwa tumeongezeka sana na ndipo akaanzisha mpango wa kuhamasisha uzazi wa mpango. Wachumi tunaelewa na tutaendelea kuelewa athari za kufyatua hovyo hovyo kutokana na umasikini wetu.

Watu bado tuna omba omba sana halafu huku tunahamasisha ufyatuaji tena kwa kwenda mbere?

Zile NGOs ulizosema kuwa kuzuiwa kwao kutoa somo la kufyatua kwa mpango tutajiathiri wenyewe hatimaye zimekupeleka lupango bila bango. Pole sana kwa hilo.

Mzee anataka tufyatue na hapangiwi akishasema. Kina Ummy ngoma wanajua kuicheza bila kibao koma. Bado wapo wapo mama, bado wapo wapo sana. Nasi juhudi tunaziunga kwa kwenda kilimanjaro ingawa bado tupo chini ya mtaro kama mtatiro.
Hivi kwa nini tunapenda kutoa tafsiri kinzani na kauli za Rais. Mpango wa Uzazi Bora siyo tu idadi ya watoto. Kuhusu idadi ya watoto, kwa nchi yetu, "kila mtu awe na watoto ambao anaweza kuwatunza" ndiyo tafsiri sahihi ya kauli ya Rais.
 
Sasa umeanza kuongea kinyumbu, nani alate biashara kwenye nchi ambayo literally inawafukuza wawelezaji na inaona wenye hela kama ni wahaini. umezunguka wee ukarudi palepale tatzo sisi kama nchi hatujui tunataka nini na style hiyo huwez pata watu tangible


Tatizo kama nchi hatujui nin tunataka huyu akija anatupeleka hivi na mwingine tunaenda vile, Huwez pata tangible.wawekezaji utaishia kupata makusanyo ya yangeyange barabarani na viwanda vya matofali tukamuone kodi tu. Sasa sisi tu hapa 60m nanga inapaa unataka watu wafungulie zipu utawalisha watoto wa watu? hiyo ni utashi wa mtu kama anaona anao uwezo wa kubudumia familia yake well n good azae tu hata idadi ya mchanga lkn sio sababu eti mtu kasema.
Labda alibaba wa kichina MTU sensitive anaogopa kurisk kwenye matamko.Wanaogopa sehemu zisizotumia Sheria.
 
Katikati hao hao wengi wanaozaliwa wanapatikana wachumi na wataalam wa sekta mbalimbali.

Kumbuka kuwa USA na Russia hazikuendelea ndani ya mwezi mmoja tu. Sisi tuna miaka 57 tu ya uhuru. Tunauhitaji mchango wa kila anayezaliwa.
Tunahitaji miaka mingapi tuendelee???kwa miaka hii 57 tumeshauza kila kitu
 
Back
Top Bottom