Malisa GJ: Kuhusu muswada wa Novatus Igosha

Juzi nikiwa Dodoma nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni afisa mwandamizi serikalini. Akanionesha muswada uitwao FINEST VALOR.

Kwanza nikataka kumjua mwandishi. Nikaona ni Novatus Igosha. Japo hatujawahi kuonana lakini nafahamu umahiri wake katika masuala ya diplomasia na siasa za kimataifa. Ni moja ya vijana waliobarikiwa ubongo wenye uwezo mkubwa.

Nikapitia Dibaji nikakuta imeandikwa na mzee Pius Msekwa. Nikapitia sura kadhaa kujua maudhui, nikaona amefanya narrative analysis ya utawala wa Magufuli kwa miaka mitano iliyopita na dira yake kwa miaka mitano ijayo. Amechambua strength, challenges na opportunities na kushauri mambo kitaalamu na kwa weledi.

Amemtafsiri Rais Magufuli kama VALOR yani mtu jasiri asiyeogopa vitisho hata katikati ya hatari. Amejaribu kuonesha Magufuli alivyochukua hatua katika mambo ambayo alitarajiwa angesita kuchukua hatua.

Amechambua kuhusu diplomasia ya kimataifa akifanya historical reflection tangu enzi za Mwalimu. Ametoa ushauri wa kitaalamu wa mambo ya kufanya kuimarisha diplomasia yetu.

Kwa kifupi ni moja ya reflective analysis bora kabisa. Akifanikiwa kuchapa muswada huu kuwa kitabu basi atakua ameipa serikali "road map" ya kule wanakotaka kwenda.

Lakini nikasikia wapo watu ndani ya serikali wamezuia muswada huu kuchapwa. Nikauliza hofu inatoka wapi mbona hakuna baya? Mbona haujaandikwa na mpinzani? Mbona kachanbua kwa kuonesha changamoto na suluhisho?

Nikaambiwa kuna watu wanahofia muswada huu ukiwa kitabu kitasomwa sana kwa sababu kimetoa majawabu ya mambo mengi. Hivyo watakua wamevuliwa nguo, maana wataulizwa kwanini mambo hayo hawakuyaona wao hadi yaonekane na kijana mdogo asiye na wadhifa wowote serikalini? Hiyo ndio vita?

Nikaambiwa aliwahi kuwekwa "mahabusu" na Naibu Katibu wa wizara kwa sababu ya muswada huu. Yapo madai kuwa wanataka kumuibia muswada huu wauchapishe kwa jina la wizara. Hivyo kufanikiwa kuzika juhudi zake. Nilimhoji @novatusigosha nikasikitika sana.

Kwa nchi zilizoendelea angepaswa kutumika vizuri kwa maslahi ya taifa. Thadei Ole Mushi huwa anasema akili kubwa zote ni mali ya Rais. Lakini huku kwetu ni vice versa. Yericko Y. Nyerere aliwahi kusema ukiwa akili kubwa Afrika sio sehemu salama kwako. It's either uipumzishe ili uishi vizuri, au uitumie uishi kwa mashaka.!
Ni majungu kama iivyo kwa majungu mengine
 
Juzi nikiwa Dodoma nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni afisa mwandamizi serikalini. Akanionesha muswada uitwao FINEST VALOR.

Kwanza nikataka kumjua mwandishi. Nikaona ni Novatus Igosha. Japo hatujawahi kuonana lakini nafahamu umahiri wake katika masuala ya diplomasia na siasa za kimataifa. Ni moja ya vijana waliobarikiwa ubongo wenye uwezo mkubwa.

Nikapitia Dibaji nikakuta imeandikwa na mzee Pius Msekwa. Nikapitia sura kadhaa kujua maudhui, nikaona amefanya narrative analysis ya utawala wa Magufuli kwa miaka mitano iliyopita na dira yake kwa miaka mitano ijayo. Amechambua strength, challenges na opportunities na kushauri mambo kitaalamu na kwa weledi.

Amemtafsiri Rais Magufuli kama VALOR yani mtu jasiri asiyeogopa vitisho hata katikati ya hatari. Amejaribu kuonesha Magufuli alivyochukua hatua katika mambo ambayo alitarajiwa angesita kuchukua hatua.

Amechambua kuhusu diplomasia ya kimataifa akifanya historical reflection tangu enzi za Mwalimu. Ametoa ushauri wa kitaalamu wa mambo ya kufanya kuimarisha diplomasia yetu.

Kwa kifupi ni moja ya reflective analysis bora kabisa. Akifanikiwa kuchapa muswada huu kuwa kitabu basi atakua ameipa serikali "road map" ya kule wanakotaka kwenda.

Lakini nikasikia wapo watu ndani ya serikali wamezuia muswada huu kuchapwa. Nikauliza hofu inatoka wapi mbona hakuna baya? Mbona haujaandikwa na mpinzani? Mbona kachanbua kwa kuonesha changamoto na suluhisho?

Nikaambiwa kuna watu wanahofia muswada huu ukiwa kitabu kitasomwa sana kwa sababu kimetoa majawabu ya mambo mengi. Hivyo watakua wamevuliwa nguo, maana wataulizwa kwanini mambo hayo hawakuyaona wao hadi yaonekane na kijana mdogo asiye na wadhifa wowote serikalini? Hiyo ndio vita?

Nikaambiwa aliwahi kuwekwa "mahabusu" na Naibu Katibu wa wizara kwa sababu ya muswada huu. Yapo madai kuwa wanataka kumuibia muswada huu wauchapishe kwa jina la wizara. Hivyo kufanikiwa kuzika juhudi zake. Nilimhoji @novatusigosha nikasikitika sana.

Kwa nchi zilizoendelea angepaswa kutumika vizuri kwa maslahi ya taifa. Thadei Ole Mushi huwa anasema akili kubwa zote ni mali ya Rais. Lakini huku kwetu ni vice versa. Yericko Y. Nyerere aliwahi kusema ukiwa akili kubwa Afrika sio sehemu salama kwako. It's either uipumzishe ili uishi vizuri, au uitumie uishi kwa mashaka.!
Think tank za chadema bwana, eti wanataka wapewe nchi, kila siku kudandia hoja tuuu! Shubamit zaoo
 
Juzi nikiwa Dodoma nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni afisa mwandamizi serikalini. Akanionesha muswada uitwao FINEST VALOR.

Kwanza nikataka kumjua mwandishi. Nikaona ni Novatus Igosha. Japo hatujawahi kuonana lakini nafahamu umahiri wake katika masuala ya diplomasia na siasa za kimataifa. Ni moja ya vijana waliobarikiwa ubongo wenye uwezo mkubwa.

Nikapitia Dibaji nikakuta imeandikwa na mzee Pius Msekwa. Nikapitia sura kadhaa kujua maudhui, nikaona amefanya narrative analysis ya utawala wa Magufuli kwa miaka mitano iliyopita na dira yake kwa miaka mitano ijayo. Amechambua strength, challenges na opportunities na kushauri mambo kitaalamu na kwa weledi.

Amemtafsiri Rais Magufuli kama VALOR yani mtu jasiri asiyeogopa vitisho hata katikati ya hatari. Amejaribu kuonesha Magufuli alivyochukua hatua katika mambo ambayo alitarajiwa angesita kuchukua hatua.

Amechambua kuhusu diplomasia ya kimataifa akifanya historical reflection tangu enzi za Mwalimu. Ametoa ushauri wa kitaalamu wa mambo ya kufanya kuimarisha diplomasia yetu.

Kwa kifupi ni moja ya reflective analysis bora kabisa. Akifanikiwa kuchapa muswada huu kuwa kitabu basi atakua ameipa serikali "road map" ya kule wanakotaka kwenda.

Lakini nikasikia wapo watu ndani ya serikali wamezuia muswada huu kuchapwa. Nikauliza hofu inatoka wapi mbona hakuna baya? Mbona haujaandikwa na mpinzani? Mbona kachanbua kwa kuonesha changamoto na suluhisho?

Nikaambiwa kuna watu wanahofia muswada huu ukiwa kitabu kitasomwa sana kwa sababu kimetoa majawabu ya mambo mengi. Hivyo watakua wamevuliwa nguo, maana wataulizwa kwanini mambo hayo hawakuyaona wao hadi yaonekane na kijana mdogo asiye na wadhifa wowote serikalini? Hiyo ndio vita?

Nikaambiwa aliwahi kuwekwa "mahabusu" na Naibu Katibu wa wizara kwa sababu ya muswada huu. Yapo madai kuwa wanataka kumuibia muswada huu wauchapishe kwa jina la wizara. Hivyo kufanikiwa kuzika juhudi zake. Nilimhoji @novatusigosha nikasikitika sana.

Kwa nchi zilizoendelea angepaswa kutumika vizuri kwa maslahi ya taifa. Thadei Ole Mushi huwa anasema akili kubwa zote ni mali ya Rais. Lakini huku kwetu ni vice versa. Yericko Y. Nyerere aliwahi kusema ukiwa akili kubwa Afrika sio sehemu salama kwako. It's either uipumzishe ili uishi vizuri, au uitumie uishi kwa mashaka.!
United Nations sanctions
The United Nations issues sanctions by consent of the Security Council and/or General Assembly in response to major international events, receiving authority to do so under Article 41 of Chapter VII of the United Nations Charter. The nature of these sanctions may vary, and include financial, trade, or weaponry restrictions. Motivations can also vary, ranging from humanitarian and environmental concerns to efforts to halt nuclear proliferation. Over two dozen sanctions measures have been implemented by the United Nations since its founding in 1945.

Sanctions on Somalia, 1992
The UN implemented sanctions against Somalia beginning in April 1992, after the overthrow of the Siad Barre led coup in 1991 during the Somali Civil War. United Nations Security Council Resolution 751 forbade members to sell, finance, or transfer any military equipment to Somalia.

Sanctions on North Korea, 2006-present Edit
The United Nations Security Council passed Resolution 1718 in 2006 in response to a nuclear test that the Democratic People's Republic of Korea (DPRK) conducted in violation of the Treaty on Non-Proliferation of Nuclear Weapons. The resolution banned the sale of military and luxury goods and froze government assets. Since then, the United Nations has passed multiple resolutions subsequently expanding sanctions on North Korea. Resolution 2270 from 2016 placed restrictions on transport personnel and vehicles employed by North Korea while also restricting the sale of natural resources and fuel for aircraft.

The efficacy of such sanctions has been questioned in light of continued nuclear tests by North Korea in the decade following the 2006 resolution. Professor William Brown of Georgetown University argued that "sanctions don't have much of an impact on an economy that has been essentially bankrupt for a generation".
 
Melissa hapingi maandishi ya watu kama unavyojiaminisha. Mtu yeyote mwelevu hawezi pinga mawazo mazur ya mtu hujasema na kujua mazuri na mabaya yaliyopo. Fumbua macho
Mi nimefumbua ubongo aisee.

Sasa kama hapingiki, kulikuwa na ulazima wa yeye kuandika?
 
Juzi nikiwa Dodoma nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni afisa mwandamizi serikalini. Akanionesha muswada uitwao FINEST VALOR.

Kwanza nikataka kumjua mwandishi. Nikaona ni Novatus Igosha. Japo hatujawahi kuonana lakini nafahamu umahiri wake katika masuala ya diplomasia na siasa za kimataifa. Ni moja ya vijana waliobarikiwa ubongo wenye uwezo mkubwa.

Nikapitia Dibaji nikakuta imeandikwa na mzee Pius Msekwa. Nikapitia sura kadhaa kujua maudhui, nikaona amefanya narrative analysis ya utawala wa Magufuli kwa miaka mitano iliyopita na dira yake kwa miaka mitano ijayo. Amechambua strength, challenges na opportunities na kushauri mambo kitaalamu na kwa weledi.

Amemtafsiri Rais Magufuli kama VALOR yani mtu jasiri asiyeogopa vitisho hata katikati ya hatari. Amejaribu kuonesha Magufuli alivyochukua hatua katika mambo ambayo alitarajiwa angesita kuchukua hatua.

Amechambua kuhusu diplomasia ya kimataifa akifanya historical reflection tangu enzi za Mwalimu. Ametoa ushauri wa kitaalamu wa mambo ya kufanya kuimarisha diplomasia yetu.

Kwa kifupi ni moja ya reflective analysis bora kabisa. Akifanikiwa kuchapa muswada huu kuwa kitabu basi atakua ameipa serikali "road map" ya kule wanakotaka kwenda.

Lakini nikasikia wapo watu ndani ya serikali wamezuia muswada huu kuchapwa. Nikauliza hofu inatoka wapi mbona hakuna baya? Mbona haujaandikwa na mpinzani? Mbona kachanbua kwa kuonesha changamoto na suluhisho?

Nikaambiwa kuna watu wanahofia muswada huu ukiwa kitabu kitasomwa sana kwa sababu kimetoa majawabu ya mambo mengi. Hivyo watakua wamevuliwa nguo, maana wataulizwa kwanini mambo hayo hawakuyaona wao hadi yaonekane na kijana mdogo asiye na wadhifa wowote serikalini? Hiyo ndio vita?

Nikaambiwa aliwahi kuwekwa "mahabusu" na Naibu Katibu wa wizara kwa sababu ya muswada huu. Yapo madai kuwa wanataka kumuibia muswada huu wauchapishe kwa jina la wizara. Hivyo kufanikiwa kuzika juhudi zake. Nilimhoji @novatusigosha nikasikitika sana.

Kwa nchi zilizoendelea angepaswa kutumika vizuri kwa maslahi ya taifa. Thadei Ole Mushi huwa anasema akili kubwa zote ni mali ya Rais. Lakini huku kwetu ni vice versa. Yericko Y. Nyerere aliwahi kusema ukiwa akili kubwa Afrika sio sehemu salama kwako. It's either uipumzishe ili uishi vizuri, au uitumie uishi kwa mashaka.!
Pamoja na changamoto lukuki tulizonazo, tuna muda wa kujadili manuscript?
 
Think tank za chadema bwana, eti wanataka wapewe nchi, kila siku kudandia hoja tuuu! Shubamit zaoo
Hata hujajua hoja ni nini unakuja kutukana ili mradi mumeona kuna watu wamepata teuzi kwa kutukana wapinzani basi unakuja kuropoka tu hapa.
JamiiForums34820377.jpg
 
Back
Top Bottom