Malisa: CCM na Serikali acheni ushamba msaada kwa mafuriko ni tani 600 matangazo kibao, mlishawai kusikia Trump katoa msaada au watu wa Marekani?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,873
Kwanza ni ushamba kuripoti habari kwa namna hii. Its against media professionalism. Msaada umetolewa na Serikali ya Tanzania sio Magufuli? Pili hakuna sababu ya kutangaza sana. Ilitosha tu kusema siku ya kwanza kuwa tumetoa msaada. Sio mnatoa msaada mnatangaza, mkisafirisha mnatangaza, msaada ukifika mnatangaza, watu wakigawiwa mnatangaza, na wakianza kula mnatangaza? Kwamba sasa kile chakula cha msaada tulichotoa kimeanza kupikwa? Acheni ushamba.

Afu tani zenyewe 600? Kikwete alitoa tani 8,000 he didnt say a thing. Saivi tani 600 tu mnnasifu na kuabudu asif ni jambo kubwa sana. Serikali ya Marekani inatupa msaada kwa mambo kibao, kuanzia afya, maji, umeme, miundombinu hadi dawa za ARVs lakini huwezi kusikia msaada umetolewa na Trump. Huwa tunaambiwa kwa hisani ya watu wa Marekani kwa sababu ni kodi ya wananchi sio pesa ya Rais. Hapa kwetu kila kitu tunapersonalize kwa mtu mmoja. ZZK aliposema msaada usifanyiwe siasa alimaanisha hiki kinachoendelea.

#PraiseTeamAcheniUshamba

FB_IMG_1553180665451.jpg
 
Yaani mpambe ana mpamba bosi hadi bosi anachukia!!! Mala serikali ya jiwe(yangu) je angekuwa ndio aliikomboa nchi ya Puerto Rico toka kwa mabeberu ingekuwaje?? Mfano mateso aliuoyapata MANDELA, lakini hakutaka mijisifa kama jiwe, mtu ameingia ki mazabe mazabe tu, kama kunguru kumnyea mtu
 
Kwanza ni ushamba kuripoti habari kwa namna hii. Its against media professionalism. Msaada umetolewa na Serikali ya Tanzania sio Magufuli? Pili hakuna sababu ya kutangaza sana. Ilitosha tu kusema siku ya kwanza kuwa tumetoa msaada. Sio mnatoa msaada mnatangaza, mkisafirisha mnatangaza, msaada ukifika mnatangaza, watu wakigawiwa mnatangaza, na wakianza kula mnatangaza? Kwamba sasa kile chakula cha msaada tulichotoa kimeanza kupikwa? Acheni ushamba.

Afu tani zenyewe 600? Kikwete alitoa tani 8,000 he didnt say a thing. Saivi tani 600 tu mnnasifu na kuabudu asif ni jambo kubwa sana. Serikali ya Marekani inatupa msaada kwa mambo kibao, kuanzia afya, maji, umeme, miundombinu hadi dawa za ARVs lakini huwezi kusikia msaada umetolewa na Trump. Huwa tunaambiwa kwa hisani ya watu wa Marekani kwa sababu ni kodi ya wananchi sio pesa ya Rais. Hapa kwetu kila kitu tunapersonalize kwa mtu mmoja. ZZK aliposema msaada usifanyiwe siasa alimaanisha hiki kinachoendelea.

#PraiseTeamAcheniUshamba

View attachment 1050597
kweli nchi imekabidhiwa washamba
 
Kwanza ni ushamba kuripoti habari kwa namna hii. Its against media professionalism. Msaada umetolewa na Serikali ya Tanzania sio Magufuli? Pili hakuna sababu ya kutangaza sana. Ilitosha tu kusema siku ya kwanza kuwa tumetoa msaada. Sio mnatoa msaada mnatangaza, mkisafirisha mnatangaza, msaada ukifika mnatangaza, watu wakigawiwa mnatangaza, na wakianza kula mnatangaza? Kwamba sasa kile chakula cha msaada tulichotoa kimeanza kupikwa? Acheni ushamba.

Afu tani zenyewe 600? Kikwete alitoa tani 8,000 he didnt say a thing. Saivi tani 600 tu mnnasifu na kuabudu asif ni jambo kubwa sana. Serikali ya Marekani inatupa msaada kwa mambo kibao, kuanzia afya, maji, umeme, miundombinu hadi dawa za ARVs lakini huwezi kusikia msaada umetolewa na Trump. Huwa tunaambiwa kwa hisani ya watu wa Marekani kwa sababu ni kodi ya wananchi sio pesa ya Rais. Hapa kwetu kila kitu tunapersonalize kwa mtu mmoja. ZZK aliposema msaada usifanyiwe siasa alimaanisha hiki kinachoendelea.

#PraiseTeamAcheniUshamba

View attachment 1050597

Mkuu kutoa msaada ni jambo jema sana lakini namna hili jambo linavyokuzwa hata wapewa msaada wanaweza wasijisikie vizuri: alafu siku hizi naona hicho chanzo Cha habari kimeufyata mkia kwa kupublish habari ambazo ni njema machoni pa mfalme hata kama hazina mvuto machoni pa wanyonge yani wamenza kwenda nje ya weredi wa hiyo taaruma Yao ya habari kabisa.
 
Msaaaada atoe mwingine....
Masharti ya Publicity atoe mwingine, acha kiherehere kama unawashwa sana tuma maombi uchukue nafasi ya Msigwa. Vipp mjamzito aliyetoka Segerea majuzi ashapimwa gauni la Ujauzitto?
 
Badilikeni nyie muache ulimbukeni
Kutangaza au kutotangaza nyinyi kipi kinachowauma? Mambo mengine tufikie hatua tubadilike sio kila kitu tunakuwa waongeaji,Tujikite kufanya maendeleo na sio kuwa na maneno mengi kila mtu anataka kuwa mshauri tu

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Kutangaza au kutotangaza nyinyi kipi kinachowauma? Mambo mengine tufikie hatua tubadilike sio kila kitu tunakuwa waongeaji,Tujikite kufanya maendeleo na sio kuwa na maneno mengi kila mtu anataka kuwa mshauri tu
Mseveni, Uhuru & Kagame waliwasaidia wahanga wetu Bukoba. Hakukuwa na matangazo ya namna hii !!!
Sijui sisi ni ugeni kwenye misaada ?! Kila kitu campaign !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom