Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Waathirika wa Mabomu wakisubili zamu yao kuitwa kwenda kupewa hundi ofisi za manispaa Temeke.
Wakihakiki picha zao za majengo na walipwaji halali.
Wakipokea Hundi zao kutoka kwa maofisa husika wa Manipaa.
Akionesha hundi yake japo hakuridhika na malipo aliyopata ya sh Milioni 1.6.
Waliona malalamiko waliwasilisha baada ya kupokea Hundi au kabla.maana wapo wanaolipwa 30,000 wakati alitaraji milioni kadhaa.